Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Too low for u, Labda tu utueleze ulifikaje ghetto kwake hadi uyajuwe yote hayo? wewe ni demu wake?Joh Makini amepanga Changanyikeni, nyuma ya UDSM. Jamaa ananisikitisha sana kwa mtu kama yeye kupanga chumba kimoja tu.
Hapo hapo chumbani anapikia kaweka ndoo za maji na vyombo vyake. Ifike mahala apange walau vyumba viwili.
Joh Makini anaendesha Starlet baada ya kuuza ile Mazda, basi ni bora auze hiyo starlet kwa milioni tano au sita akatafute kiwanja chake hata chamazi au chanika aanze kujenga nyumba yake taratibu.
Kweli hip hop hailipi, yani miaka yote aliyofanya music bado anaishi chumba kimoja???
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Joh Makini amepanga Changanyikeni, nyuma ya UDSM. Jamaa ananisikitisha sana kwa mtu kama yeye kupanga chumba kimoja tu.
Hapo hapo chumbani anapikia kaweka ndoo za maji na vyombo vyake. Ifike mahala apange walau vyumba viwili.
Joh Makini anaendesha Starlet baada ya kuuza ile Mazda, basi ni bora auze hiyo starlet kwa milioni tano au sita akatafute kiwanja chake hata chamazi au chanika aanze kujenga nyumba yake taratibu.
Kweli hip hop hailipi, yani miaka yote aliyofanya music bado anaishi chumba kimoja???
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Wakuu mnamshambulia mleta mada lkn yeye Alichofanya niile kuonyesha MSANII KIOO cha JAMII manake kuna madogo labda wanamkubali nalabda watatakaa kuiga kz yake sasa.km kz yenyewe km hailipi na mtu analala store wataipendaje hiyo fani...
Joh Makini amepanga Changanyikeni, nyuma ya UDSM. Jamaa ananisikitisha sana kwa mtu kama yeye kupanga chumba kimoja tu.
Hapo hapo chumbani anapikia kaweka ndoo za maji na vyombo vyake. Ifike mahala apange walau vyumba viwili.
Joh Makini anaendesha Starlet baada ya kuuza ile Mazda, basi ni bora auze hiyo starlet kwa milioni tano au sita akatafute kiwanja chake hata chamazi au chanika aanze kujenga nyumba yake taratibu.
Kweli hip hop hailipi, yani miaka yote aliyofanya music bado anaishi chumba kimoja???
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Wanaopenda kuiga wakaige utajiri wa Mengi Bakhresa na Mo Dewji, tuondolee upumbavu wako hapa.