Yeah sometimes inabidi kusamehe na kusahau yaliyopita...in fact rj company wanapiga kazi pia wana production ya ukweli next level ambayo hakuna msanii wa bongo movies aliye nayo..kma unataka kuhakikisha chek movies zao utaniambia mfano fan's death,waves of sorrows,bad luck na mzigo unaotikisa town wa hard price alongside jaquiline wolper na sabby angel...
Bosslady wa kampuni ya RJ na muigizaji kutoka Bongo movie, johari chagula amefunguka kuhusu mahusiano yake na partner wake wa long time , Ray kigosi na kusema yupo na RJ company na sio ray. Katika kuonyesha wapo kikazi zaidi , ivi karibun ame post picha inayohamasisha watu kumpigia kura partner wake huyo ili anyakue tunzo ya director bora wa mwaka.
Wawili hao ambao waliwahi kuwa wapenzi apo awali na kutengana ivi karibuni , haijafanya wachukiane na kutofanya kazi pamoja.
Mkuu uko deep sana, nilishafanyakazi ya kutumwa na kampuni moja nje ya nchi, yani nilivyokuja Bongo nikaona ni mauzauza tu, tena sisi ilikuwa ni commercial advertisemt for tv nikiwa kwenye moja ya department uliyoitaja hapo juu kiukweli sisi bado sana.Quality ya Sinema au picha???? wanatumia Panavision au Red 5K???? ukiniambia sinema zao nzuri nakataa.
1. Sinema ina dialogue 75% actions 25%
2. talents wakulazimisha, character na talent tofauti
3. Script hazitofautiani na pamphlet.
4. Theme zile zile
5. poor lighting techniques (flood lighting sinema nzima)
6. hakuna wardrobe department
7. Directors wanapwaya, huyo Ray mwenyewe Tabularasa tu, zaidi ya action au cut hakuna kingine wanachofanya. Tazama sinema zao utafikiri talents wanajiongoza wenyewe.
8. Improvisation inawaangusha. punguzeni improvisation
Katika uzalishaji wa sinema vitu vitatu muhimu
1. Lighting
2. Wardrobe
3. professional director kuwaongoza talents ku-deliver actual theatrical performance
mi nkshaona habar imeandkwa na ww cjcumbuagi kusoma yani upo kama gazeti la udaku kimsingi we ni loko
Mkuu uko deep sana, nilishafanyakazi ya kutumwa na kampuni moja nje ya nchi, yani nilivyokuja Bongo nikaona ni mauzauza tu, tena sisi ilikuwa ni commercial advertisemt for tv nikiwa kwenye moja ya department uliyoitaja hapo juu kiukweli sisi bado sana.
Wakati mimi nikiwa nashangaa film industry yetu miaka 10 baadaye ndio ile kampuni niliyokuwa nayo ndio imeanza kufanya kazi za kutengeneza movie.
unaweza ukapima mwenyewe after 10 years net ndio kampuni imejiridhisha sasa wapo kamili na wana kazi nyingi sana nchini Australia.
I see, umenikumbusha mbali sana bro, one of the crew ambao tulikuwa wote ni mbongo mwenzetu kuna movie wanaikamilisha Australia atatinga any time Bongo na ana idea nyingi sana kuliko mimi maana ni miaka 10 sasa mimi tangu nimebadili life style I wish nitakuconnect mnaweza mkafanya kitu.Nime pita pita shule ya Theater na nimefanya kazi na some Hollywood guys akiwemo Barry Braverman.
Huwezi amini nimeomba ku-volunteer kwa hawa wenye kampuni zao Bongo tuweze ku-share kidogo nilichonacho, weeeee hizo kalenda usipime. Waoga wa kujifunza vitu vipya.
Mkuu wewe shusha habari tu usikonde mtu akitaka kuwa serious aende jukwaa la Great thinker au katiba mpya, hapa tunadigest ubongo hapahitaji karaha.Poa mkuu ila kumbuka sikukuita humu, wewe unaniona loko ila kuna watu wananifuatilia na u loko wangu na ndio maana hadi Leo nipo humu, so u can take ur way if u don't mind my brother
I see, umenikumbusha mbali sana bro, one of the crew ambao tulikuwa wote ni mbongo mwenzetu kuna movie wanaikamilisha Australia atatinga any time Bongo na ana idea nyingi sana kuliko mimi maana ni miaka 10 sasa mimi tangu nimebadili life style I wish nitakuconnect mnaweza mkafanya kitu.
I will keep ur Id for communications at the right time.)
Shukrani mkuu
Bosslady wa kampuni ya RJ na muigizaji kutoka Bongo movie, johari chagula amefunguka kuhusu mahusiano yake na partner wake wa long time , Ray kigosi na kusema yupo na RJ company na sio ray. Katika kuonyesha wapo kikazi zaidi , ivi karibun ame post picha inayohamasisha watu kumpigia kura partner wake huyo ili anyakue tunzo ya director bora wa mwaka.
Wawili hao ambao waliwahi kuwa wapenzi apo awali na kutengana ivi karibuni , haijafanya wachukiane na kutofanya kazi pamoja.
Matola umeongea fact.Sometimes tunawaonea huruma bajeti zao lakini wanakera wanaposhindwa hata kuunganisha matukio kutengeneza reality walau kwa asilimia flani hivi.
Tatizo Bongo Movie wamejaa wajuaji hawataki challenge zaidi kupenda sifa.
Quality ya Sinema au picha???? wanatumia Panavision au Red 5K???? ukiniambia sinema zao nzuri nakataa.
1. Sinema ina dialogue 75% actions 25%
2. talents wakulazimisha, character na talent tofauti
3. Script hazitofautiani na pamphlet.
4. Theme zile zile
5. poor lighting techniques (flood lighting sinema nzima)
6. hakuna wardrobe department
7. Directors wanapwaya, huyo Ray mwenyewe Tabularasa tu, zaidi ya action au cut hakuna kingine wanachofanya. Tazama sinema zao utafikiri talents wanajiongoza wenyewe.
8. Improvisation inawaangusha. punguzeni improvisation
Katika uzalishaji wa sinema vitu vitatu muhimu
1. Lighting
2. Wardrobe
3. professional director kuwaongoza talents ku-deliver actual theatrical performance
Matola umeongea fact.Sometimes tunawaonea huruma bajeti zao lakini wanakera wanaposhindwa hata kuunganisha matukio kutengeneza reality walau kwa asilimia flani hivi.
Tatizo Bongo Movie wamejaa wajuaji hawataki challenge zaidi kupenda sifa.