Johari, Nora wapatana, wapanga kurudi kwa kasi

Duh huyo Nora ni kama copy ya Rita Dominic wa nollywood.
 
Nichokumbuka ni sikitiko langu filamu hiyo nikiiona hata sasa nainunua.kiukweli zamani walikuwa wanajua kuigiza sio sasa hivi wamebaki kugalagazana kitandani mda mwingi mpaka tunashindwa kuangalia na familia

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bifu za kibongo ndo zile zile mapenzi na kuzibiana rizki ndo sana.... tujifunze kwa wenzetu licha ya kuwa na bifu lakini bado wanashindana ku make mkwanja bila kuwekeana figisufigisu zisizo na maana
Mkuu vp ulifanikiwa Kuala rum hoteli za ubungo? Jimama lilikuachia mlango taka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…