John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

Anzisha thread ya mchezaji mwenye mataji mengi...hi ni thread ya mchezaji mwenye magoli mengi tangu ligi kuu ya Tanzania bara ianzishwe


Kaa vizuri wewe sindano ya dawa iingie.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atazidi kuongeza magoli sababu tangu ligi ya Tanzania ianzishwe hakuna panya yoyote anayemsogelea kwa idadi kubwa ya magoli aliyofunga
Kwan ameyafunga akiwa mbumbumbu fc?. Pale mbumbumbu hana lolote Bocco alikuwa mwana soka enzi yupo Azam fc Siku hizi amekuwa Mwakiminyo mzee wa masumbwi
 
Kwan ameyafunga akiwa mbumbumbu fc?. Pale mbumbumbu hana lolote Bocco alikuwa mwana soka enzi yupo Azam fc Siku hizi amekuwa Mwakiminyo mzee wa masumbwi
Hapana mkuu,ameyafunga akiwa yanga..na mwaka Jana kachukua uchezaji bora vpl akitumikia club yake ya yanga
 
Nilidhani utabisha.....[emoji38][emoji38][emoji38]
Sipo hapa kubishana nipo hapa kumsifia John Raphael Bocco the top score wa ligi kuu Tanzania bara tangu ianzishwe...yaani tokea ligi ianzishwe hajawahi tokea panya yoyote wa kijani akatupia goli 100 hahaaaaah
 
Uchezaji bora au ufungaji bora? Weee ni bata kweli tunazungumzia ufungaji okay
Tunazungumzia mafanikio ya John Raphael Bocco the top score tangu ligi kuu Tanzania bara ianzishwe hahaaaah na pia ni mchezaji bora vpl 2017/2018..hahaaaah yaani mipovu yote lazima iwatoke
 
Inakuuma nini akicheza kumbe mnaihofia ile squad
 
MIMI NAOMBA ARUHUSIWE TU KUCHEZA MAANA WALA HANA MADHARA YEYOTE KWA YANGA NA ILI WATU WASIJE PATA SABABU YA KUJAKUSINGIZIA MAANA KELELE TUU BOKO BOKO UTADHANI AKICHEZA KUNA KIPYA ATAFANYA...!!!
 
MIMI NAOMBA ARUHUSIWE TU KUCHEZA MAANA WALA HANA MADHARA YEYOTE KWA YANGA NA ILI WATU WASIJE PATA SABABU YA KUJAKUSINGIZIA MAANA KELELE TUU BOKO BOKO UTADHANI AKICHEZA KUNA KIPYA ATAFANYA...!!!
Top score all the time ligi kuu Tanzania bara....mchezaji bora vpl last season...hana madhara????hahahaaaaaah
 
Kibongobongo yes, hakuna tatizo.
Nilikuwa nafikiria mbona FIFA timu zinazofika fainali kwenye mashindano ya kombe la dunia hawazipi wiki moja ya kujiandaa?
 
Ni ngumu sana kurugusiwa kucheza kwa lile tukio
Kumbuka, palikuwa na utaratibu wa kuchagua mechi za kucheza kwa mchezaji anayepewa kadi nyekundu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…