Binafsi nafaham kuwa John Boko anastaili kukosa Michezo miwili (2) kwa straight red card aliyopata. Kadi nyekundu ya moja kwa moja na nikienda mbali zaidi sidhani Kama tifutifu wataishia hapo alipoishia refa Kwani hata Kama referee report haitaonyesha kuwa Boko alipewa kadi nyekundu kwa kumpiga ngumi (kumshambulia) mchezaji wa team pinzan basi zile kamera zinazotumikaga kwa JUMA S NYOSO BASI ZITAFUTWE MAANA MMMMHHH