John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

Wakubwa wakuamua lao hakuna wa kuwapinga mkuu, tusubiri kwani tarehe 30 bado.
 
Hapa simba hajafunga mengi but msimu uliopita ndo best player wa vpl...alafu huu Uzi ni wa John Raphael bocco sio wa tambwe so kama kuna vitu unataka kumsifia anzisha thread ya kumsifia hukatazwi....
Tena ni kuhusu TFF kumruhusu au kutomruhusu kama sheria inavosema kucheza mechi ya tarehe 30/9 kati ya timu yake na Yanga. Si vingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…