John Bocco kwanini anaanza dhidi ya Phiri?

John Bocco kwanini anaanza dhidi ya Phiri?

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Jamani me naanza kuamini msemo wa Ajibu kuwa Bocco mchawi. Why Bocco anapewa nafasi na Phiri anakaa nje? Hivi kweli Phiri wa kukaa benchi na Bocco kuanza?

Pili, kwanini mpaka leo Simba inasajili wachezaj ambao wakija hawachezi badala yake tunaona watu waliochoka wanapewa nafasi akina Mkude na Bocco? Maana yake usajili unaocfanyika ni wa kijinga au Bocco anawachawia wenzake? Simba hili waliangalie sana.

Haiwezekana Mkude kacheza na Matola bado yupo na anapata namba, Bocco kaipandisha Azam ila bado anacheza mpaka leo
 
Jamani me naanza kuamini msemo wa ajibu bocco mchawi. Why bocco anapewa nafasi na phiri anakaa nje.
Hivi kweli PHIRI wa kukaa benchi na bocco kuanza

Pili kwa nini mpaka leo simba inasajili wachezaj ambao wakija hawachezi badala yake tunaona watu waliochoka wanapewa nafasi akina mkude bocco maana yake usajili unaocfanyika ni wa kijinga au bocco anawachawia wenzake. Simba hili waliangalie sana.
Haiwezekana MKUDE kacheza na matola bado yupo na anapata namba, bocco kaipandisha azam bado anacheza mpaka leoooo
Mwanaaa thiiiiiiiiiiiimbaaaaaa😅🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hayo mambo yalishasemwa semwa sana ila uongozi wa Simba kama kawaida yake, unatia pamba masikioni. Wachezaji wa kigeni wanakuja vizuri, wanang'aa haswa, kisha ghafla wanaanza kuflop (e.g Okrah, Baleke,) mara wengine wa namba moja wanapata majeraha na kulazimika kurudi walikotoka (e.g Fraga na Thadeo Lwanga), kisha mwenye namba yake anarudi kwenye nafasi (Jonas Mkude).

Yaani ni kama huku maofisini, ili uweze kukaa ofisini inakulazimu kubadilisha kiti alichokuwa anakalia mtangulizi wako na wewe uweke chako, vinginevyo utapata taabu sana.
 
Back
Top Bottom