Bocco na wenzie wachawi,watimuliwe tu kwakweli
Toa neno kwenye hiyo hoja mwana LunyasiMashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu - Alhaj Aden Rage, akiwa Police Officers Mess
Umeielewa Mada iliyopo mezani.Mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu - Alhaj Aden Rage, akiwa Police Officers Mess
Kwa hiyo Phiri akianza na Bocco akakaa nje, basi Phiri atakuwa mchawi pia?BOCCO MCHAWI MNAONA PHIRI ANAKAA NJE BOCCO ANAANZA
Mwanaaa thiiiiiiiiiiiimbaaaaaa😅🤣🤣🤣🤣🤣Jamani me naanza kuamini msemo wa ajibu bocco mchawi. Why bocco anapewa nafasi na phiri anakaa nje.
Hivi kweli PHIRI wa kukaa benchi na bocco kuanza
Pili kwa nini mpaka leo simba inasajili wachezaj ambao wakija hawachezi badala yake tunaona watu waliochoka wanapewa nafasi akina mkude bocco maana yake usajili unaocfanyika ni wa kijinga au bocco anawachawia wenzake. Simba hili waliangalie sana.
Haiwezekana MKUDE kacheza na matola bado yupo na anapata namba, bocco kaipandisha azam bado anacheza mpaka leoooo
Miongoni mwao ni weweMashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu - Alhaj Aden Rage, akiwa Police Officers Mess
Wewe ni Mbumbumbu proKwa hiyo Phiri akianza na Bocco akakaa nje, basi Phiri atakuwa mchawi pia?
mimi ni msomi wa Chuo Kikuu na mtumishi wa ummaWewe ni Mbumbumbu pro