Wewe mwenyewe galasa kwenu,hivyo bora ukae kimyaMechi ya Leo ya Rwanda vs Stars ndio inadhihirisha kwanini huyu striker alikuwa haitwi timu ya taifa
Wewe hapa JF ni garasaMechi ya Leo ya Rwanda vs Stars ndio inadhihirisha kwanini huyu striker alikuwa haitwi timu ya taifa
Matokeo??Rwanda wanapiga mipira ya juu. Stars wanashindwa kutuliza mpira chini ili viungo wacheze na kutengeneza matokeo. Ovyo kweli!
Unampaje muda mchezaji aliyekongoroka kwa uzee ?Duuuh aisee..tumpe muda mpira haujaisha
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Unampaje muda mchezaji aliyekongoroka kwa uzee ?
Siku hazigandi mkuu .
Dakika ya 87 sasa bado 0-0
Dakika ya 87 sasa bado 0-0
Kichwa cha mwendawazimu out , maana Rwanda wana kile kigoli cha ugenini .Then itakuwa penalty au ndo tumeliwa kichwa?
Kichwa cha mwendawazimu out , maana Rwanda wana kile kigoli cha ugenini .
Bye bye Taifa stars..tumetolewa mkuuThen itakuwa penalty au ndo tumeliwa kichwa?
Huo ndiyo ukweli mkuu, japo kwa wanazi wa Msimbazi hawataki kuhusikia, ila tuache tu na muda utaongea.Mechi ya Leo ya Rwanda vs Stars ndio inadhihirisha kwanini huyu striker alikuwa haitwi timu ya taifa