Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
David Webb a.k.a Jason Charles Bourne, vipi unashindwa kupata taarifa kamili na wewe ni amongst of super spy... Nashangaa vipi walikupa assignment ya kumtafuta Carlos the Jackal.Hii habari imetoka kwenye chanzo changu dhaifu cha newz!
Kuna mwenye habari zaidi?
Hii habari imetoka kwenye chanzo changu dhaifu cha newz!
Kuna mwenye habari zaidi?
<br />Hakuna aliepata source makini ili tujue kama ni kweli au la...
Ole wao wanaowaombea wenzao vifo...................Afe tu kwanza mchezo wenyewe anaocheza ni 'fake' kama nini sijui.
<br />Hivi mieleka wanaigiza? Ama n kweli? Km wanaigiza mbona kuna watazamaj weng na wenye kuwa na hamasa? Mwongozo tafadhali...