John Dilinga Matlou Kukinukisha kesho Power Jam.

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia kwenu JF,
Yule Mkongwe wa ma DJ John Dilinga al maarufu kama DJ JD kesho atakinukisha ndani ya power jams Ea radio katika bongo oldiez kuanzia saa saba mchana mpaka saa kumi jioni,si kipindi cha kukosa wadau mtaokuwa na axes kirekodini hcho kipindi maana itakuwa hatari.
 

unamaanisha nini.......

I love DJ JD That man really Rocks
 
nimemmiss mkali wa wakali dj jd kuna mtu yeyote aliyekuwa na mashoka akarecord hiki kipindi?
 
DJ JD namkubali sana, big up sana John Dilinga, u have never let me down kabisa
 
Ngoja niweke alarm kabisa. Toka Love n Dedication Zone The Cruise
 
alarm yako itakupigia makelele ya bureee...uwe unasoma tarehe za thread kwanza,hii ya mwaka janaaa.

mi mwenyewe macho yalishanitoka kumbe ya mwaka jana ha ha ha ha haaaaa...!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…