John Dillinga Matlou -(DJ JD) Kivingine

Twilumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
12,576
Reaction score
14,522
Wadau hebu sikilizeni wenyewe muone huyu jamaa alivyo mkali katika upigaji muziki, sikiliza hiyo link

Kwa sasa anapiga muziki kama kawa old skul na flashback pale Isumba Lounge maeneo ya jolly club, barabara ya Ally Hassan Mwinyi.



Wadau jamaa mkali kwa kweli tuache utani!


 
hakuna link yoyote! weka link mkuu
 
Safi! huyu jamaa yupo hatua kibao mbele ya vijana pamoja na umri kwenda.
tayari kaweka kazi zake mtandaoni while vijana ambao huu ni wakati wao hawajafikiria.
 
Safi! huyu jamaa yupo hatua kibao mbele ya vijana pamoja na umri kwenda.
tayari kaweka kazi zake mtandaoni while vijana ambao huu ni wakati wao hawajafikiria.

Hebu sikiliza kule mwisho dak ya 48:17 amesugua hadi noma!!
 
Ng'ombe hazeeki maini! si unaona Funk Master Flex anazeeka lakini mikono speed ile ile!
 
Ng'ombe hazeeki maini! si unaona Funk Master Flex anazeeka lakini mikono speed ile ile!

Hahaaa duh Funk master flex, jamaa nae mkali huyo duh, sema ile style yale ya ad-lip ndo inamtoa, sawa na Jd akiwa anapigisha music aisee jamaa anapagawisha na hizo ad-lip ile mbaya!!
 
Kibongo bongo sijui kwanini tunakosa madj wanaoweza ad-lip kutoa DJ JD na wanaojaribu wanatuumiza masikio tu!
 
Safi! huyu jamaa yupo hatua kibao mbele ya vijana pamoja na umri kwenda.
tayari kaweka kazi zake mtandaoni while vijana ambao huu ni wakati wao hawajafikiria.

Nadhani anampango wa kuuza online hiz mix zake kama Ma-DJ fulanii wa kenya (nimewasahau jina) wanauza kazi zao ingawa nadhani bado si kwa sana!
 
Ng'ombe hazeeki maini! si unaona Funk Master Flex anazeeka lakini mikono speed ile ile!

Jana nimeona post moja kwa page yake ya fb kuuna doga mdogo anasema anapiga muziki club kubwa kubwa marekani, kimsingi anamshukuru JD kwa kuwa role model wake, yaani hadi hapo alipofikia ni kwa sbb ya kuwa inspired na John dillinga matlou!
 
JD Aliwahi kupambanishwa na DJ mmoja mchovu wa Clouds, hilo shindano iligundulika kuwa Ruge yupo nyuma yake kama mratibu. Guess what happened!!
 
JD Aliwahi kupambanishwa na DJ mmoja mchovu wa Clouds, hilo shindano iligundulika kuwa Ruge yupo nyuma yake kama mratibu. Guess what happened!!

Haahaaa aisee Jamaa si walimpa ushindi Lumuliko Mengele aka Dj Mully B.

Kimsingi ilikuwa ni kama kumhadaa DJ JD maana waliwahi kutaka sana awe DJ wao pale baada ya DJ JD kutokubaliana na akina Ruge, mtiti ukaanza hapo kuandaa mashindano ambayo mwisho wa siku yalifanywa kwa manufaa ya wao Clouds Media ingawa issue ilikuwa ya Kitaifa zaidi!

Wasanii wanavyolalamika juu ya unyonyaji wa clouds media kuna ukweli ndani yake.

Go go go go gooooo DJ JD!
 
Leo nitapita pale Jolly Isumba Lounge but Mr DJ natanguliza request kabisaaaaa hizi ngoma zisikose 1) Its party-Busta Rhymes ft Zhane! 2) What you want- Next ft Beanie Sigel 3) Between me&you-Ja Rule
mambo ya request line ndani ya JF
 
Leo nitapita pale Jolly Isumba Lounge but Mr DJ natanguliza request kabisaaaaa hizi ngoma zisikose 1) Its party-Busta Rhymes ft Zhane! 2) What you want- Next ft Beanie Sigel 3) Between me&you-Ja Rule
mambo ya request line ndani ya JF

MTAZAMO ntakuwepo pale, tushtuane basi!
 

Hapo hata mimi sijafanikiwa kufungua hyo link
 
Leo nitapita pale Jolly Isumba Lounge but Mr DJ natanguliza request kabisaaaaa hizi ngoma zisikose 1) Its party-Busta Rhymes ft Zhane! 2) What you want- Next ft Beanie Sigel 3) Between me&you-Ja Rule
mambo ya request line ndani ya JF

Pamoja na hizo ngoma; mi ningependa pia ziwepo zifuatazo:-
1) Do what u want to do- Donell Jones
2) Never be the same again- ft Left eye
3) Too young- Jerome
4) Mo money mo problem
5) Human Nature, u re the one- SWV
6) As if- Blaque.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…