Plagiarism Japo umemuacknowlege mwandishi wa kwanza The Bold Ndugu umefanya kitu kimoja Cha kusononesha sana. Umemcopy kila kitu Ndg Habib M Hanga aliyeandika 2017 then Unajiweka na wewe. Umenisikitisha sana!
Imepita zaidi ya miaka 50 , lakini kifo Cha Kennedy kikihadithiwa ni kama vile kimetokea Jana.
Jf Kennedy inaezekana kuwa ndiye Rais maarufu Sana kwa muda mrefu ,