John Heche: Viongozi hatupeleki watoto wetu shule za Kata kwani hatuziamini?

John Heche: Viongozi hatupeleki watoto wetu shule za Kata kwani hatuziamini?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema moja kati ya jambo linalothibitisha kwamba elimu ya shule za serikali si nzuri na haiaminiki ni hali ya viongozi wa juu serikalini ma kwenye vyama vya siasa kutopeleka watoto wao katika shule hizo.

 
Kila mtu atumie akili yake kwa ajili ya maisha bora ya watoto wake
 
Serekali ya CCM ndiyo iliyotufikisha hapa kwenye mikwamo.
 
Back
Top Bottom