Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara, John Heche amewataka wanachama wa chama hicho kutokuingia kwenye kile alichokiita mtego wa kukipasua chama.
Soma: John Mnyika adai kuna hujuma za kuyumbisha harakati za 'No Reforms No Election' kufuatia pingamizi la uteuzi wa vigogo nane CHADEMA
Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha Heche amesema zipo juhudi zinafanyika ili kukipasua chama hicho na kukidhoofisha kutokuendelea na ajenda zake muhimu.
"Walikuwa wanategemea chama hiki kitakufa, tutatoka Mlimani City tumekufa, tumewaonesha nchi nzima watu hawakulala wanaifuatilia Chadema kwa jinsi watu walivyokuwa na matumaini na sisi" amesema Heche
Soma: John Mnyika adai kuna hujuma za kuyumbisha harakati za 'No Reforms No Election' kufuatia pingamizi la uteuzi wa vigogo nane CHADEMA
Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha Heche amesema zipo juhudi zinafanyika ili kukipasua chama hicho na kukidhoofisha kutokuendelea na ajenda zake muhimu.
"Walikuwa wanategemea chama hiki kitakufa, tutatoka Mlimani City tumekufa, tumewaonesha nchi nzima watu hawakulala wanaifuatilia Chadema kwa jinsi watu walivyokuwa na matumaini na sisi" amesema Heche