Pre GE2025 John Heche: Vyombo vya habari vinafanya upendeleo. Wakifanya coverage ya upinzani wanafanya negative stories

Pre GE2025 John Heche: Vyombo vya habari vinafanya upendeleo. Wakifanya coverage ya upinzani wanafanya negative stories

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche akiongea hivi karibuni amesema kuwa vyombo vya habari nchini Tanzania vinaipendelea CCM na kwamba vyombo vingi vinaripoti vibaya CHADEMA

Akitolea mfano, Heche alisema kuwa:

"Vyombo vya habari angalia coverage wanayofanya, wanafanya coverage ya upendeleo. Wakifanya average ya upinzani wanafanya katika mazingira ya negative stories. Kama ambavyo wananchi inawasetia agenda sasa hivi kwamba CHADEMA kuna mgawanyiko. Kitu ambacho its not true"

 
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche akiongea hivi karibuni amesema kuwa vyombo vya habari nchini Tanzania vinaipendelea CCM na kwamba vyombo vingi vinaripoti vibaya CHADEMA

Akitolea mfano, Heche alisema kuwa:

"Vyombo vya habari angalia coverage wanayofanya, wanafanya coverage ya upendeleo. Wakifanya average ya upinzani wanafanya katika mazingira ya negative stories. Kama ambavyo wananchi inawasetia agenda sasa hivi kwamba CHADEMA kuna mgawanyiko. Kitu ambacho its not true"

NI wakati sasa CHADEMA iwe na media team ambayo iko active mitandaoni. Kuanzia Facebook, Twitter, Instagram, Pinterest, YouTube, hadi JamiiForums
 
Back
Top Bottom