Pre GE2025 John Heche: Wabunge wamegeuka machawa wa Rais. Wanalipwa Milioni 18 kwa mwezi, kwa siku Laki 6 ambazo ni Kodi zenu!

Pre GE2025 John Heche: Wabunge wamegeuka machawa wa Rais. Wanalipwa Milioni 18 kwa mwezi, kwa siku Laki 6 ambazo ni Kodi zenu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Watanzania wanahitaji mfumo wa uchaguzi utakaoamua viongozi wao halali ambao watawajibika kwao huku akikemea vikali wabunge aliodai kuwa wamekuwa 'machawa' kwa kujipendekeza kwa Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amezungumza hayo siku ya Jumatano Februari 12, 2025 akiwa Tarime Mjini mkoani Mara kwenye mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti.

 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Watanzania wanahitaji mfumo wa uchaguzi utakaoamua viongozi wao halali ambao watawajibika kwao huku akikemea vikali wabunge aliodai kuwa wamekuwa 'machawa' kwa kujipendekeza kwa Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Amezungumza hayo siku ya Jumatano Februari 12, 2025 akiwa Tarime Mjini mkoani Mara kwenye mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti.

Wanavyomsifu na kumuabudu Rais, Kuna siku anaweza kuwaambia waingie Uchi bungeni na wakaingia Uchi wajinga wale
 
Hakika, hawa bwana ni miongoni mwa watanzania wachache sana wenye akili timamu na wanajitambua.

Majitu mengi siku hizi, yamezitupa akili zao, na kubakia kuwa machawa ya Rais!! Ni ujinga wa hali ya juu.
Haya ni majangili haswa yanagonga meza na kusifu pekee yanalipwa a lot of money
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Watanzania wanahitaji mfumo wa uchaguzi utakaoamua viongozi wao halali ambao watawajibika kwao huku akikemea vikali wabunge aliodai kuwa wamekuwa 'machawa' kwa kujipendekeza kwa Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amezungumza hayo siku ya Jumatano Februari 12, 2025 akiwa Tarime Mjini mkoani Mara kwenye mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti.

Tunamshukuru mama kwa kutuletea Lissu na Heche maana haya yote tusingeyajua
 
Heche akiwa mbunge alilipwa ngapi?
Aliwai kusema hadharani akubalia I na mil 16 aliyokuwa akilipwa?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Watanzania wanahitaji mfumo wa uchaguzi utakaoamua viongozi wao halali ambao watawajibika kwao huku akikemea vikali wabunge aliodai kuwa wamekuwa 'machawa' kwa kujipendekeza kwa Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amezungumza hayo siku ya Jumatano Februari 12, 2025 akiwa Tarime Mjini mkoani Mara kwenye mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti.

Hivi ni kweli wabunge wanalipwa Laki 6???
 
Back
Top Bottom