John Mnyika: Hakuna kesi ya Covid-19 mahakamani, Kinana mwongo, Spika awaondoe

John Mnyika: Hakuna kesi ya Covid-19 mahakamani, Kinana mwongo, Spika awaondoe

Taso

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2010
Posts
2,507
Reaction score
2,412
Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika, ameanika namba ya Spika hadharani ili ahojiwe moja kwa moja na Wananchi kwa kukataa kutii sheria inayomtaka awaondoe bungeni watu 19 waliofukuzwa uanachama CHADEMA, al maaruf Covid 19.

Amesema maelezo ya CCM kupitia Kinana kwamba watu hawa wanasubiri kesi iliyopo mahakamani ni uongo, hakuna kesi mahakamani

Post script: Jamiiforums, bahati mbaya, wameondoa namba ya simu ya spika na video clip ya speech ya Mnyika aliyoitoa kwenye viwanja vya wazi; again, aliye chicken out ni Jamiiforums.
 
Hatimae hadi uchaguzi utafika na hakuna hukumu itakayo tolewa na bila tone la aibu watarudi majukwaani kuomba kura kwa kupitia CCM na vyama vingine ikiwemo Chadema.
 
Kumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria
Kumpigia simu mtu bila ridhaa yake ni kosa kisheria ?

Anajuaje unataka kumpigia ili atoe ridhaa ??? Na anatoaje ridhaa kabla ya kuongea nae ????

Au unapaswa ufanyaje, umtume boda boda nyumbani kwake amtaarifu kuna mtu anaomba kukupigia?
 
Kumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria,aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli.Muwe makini.
Ujinga mwingine bora kukaa kimya, wewe watu wote unaowapigia simu huwa unaenda kuwaomba ridhaa yao ndo unapiga?
Wewe ukiumwa ukampigia simu daktari bila ridhaa yake, aende kukushtaki?
Wewe mjinga sana.
 
The saga continues... Watabebwa mpaka 2025!!
Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika, ametoa namba ya Spika ili ahojiwe moja kwa moja na Wananchi kwa kukataa kutii sheria inayomtaka awaondoe bungeni watu 19 waliofukuzwa uanachama CHADEMA, al maaruf Covid 19.

Amesema maelezo ya CCM kupitia Kinana kwamba watu hawa wanasubiri kesi iliyopo mahakamani ni uongo, hakuna kesi mahakamani.
 
mods, hii thread sicho nilichoandika

might as well futa thread nzima

niliweka namba ya Spika kama ambavyo imetangazwa hadharani na CHADEMA

jini limeshatoka kwenye chupa, huwezi kulirudisha
 
Back
Top Bottom