Kumpigia simu mtu yoyote yule bila ridhaa yake ni kosa kisheria, aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli. Muwe makini.🤣utoto wenye mihemko raha sana aise 🐒
Umekisoma ulichokiandika kwa kurudia?Kumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria,aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli.Muwe makini.
Acha kututisha wewe jamaa, tutamsumbua mpaka abadili lainiKumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria,aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli.Muwe makini.
Hii ni intrusion of privacy, hapo mnatafuta kesi, kulipa mamilioni.Acha kututisha wewe jamaa,tutamsumbua mpaka abadili laini
Kumpigia simu mtu bila ridhaa yake ni kosa kisheria ?Kumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria
Uongoooo! Lini ulimwuliza mme wako ampigie simu kabla?Kumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria,aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli.Muwe makini.
Ujinga mwingine bora kukaa kimya, wewe watu wote unaowapigia simu huwa unaenda kuwaomba ridhaa yao ndo unapiga?Kumpigia simu mtu,yoyote yule ,bila ridhaa yake ni kosa,kisheria,aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli.Muwe makini.
Kwa hiyo ili umpigie simu mhusika mpaka umuombe akupe ridhaa?Kumpigia simu mtu yoyote yule bila ridhaa yake ni kosa kisheria, aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli. Muwe makini.
Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika, ametoa namba ya Spika ili ahojiwe moja kwa moja na Wananchi kwa kukataa kutii sheria inayomtaka awaondoe bungeni watu 19 waliofukuzwa uanachama CHADEMA, al maaruf Covid 19.
Amesema maelezo ya CCM kupitia Kinana kwamba watu hawa wanasubiri kesi iliyopo mahakamani ni uongo, hakuna kesi mahakamani.
Kumpigia simu kiongozi wako ni kosa? Wewe ulisoma hata ngumbaru kweli. Mavi kabisa wewe. Toa samadi zako kichwani mwako humoKumpigia simu mtu yoyote yule bila ridhaa yake ni kosa kisheria, aweza hata kukufungulia kesi ya utapeli. Muwe makini.
Mm nimempigia lkn nilipojitambulisha tu kuwa mimi ni mwananchi ninayetaka kujua ni lini utaaondoa bungeni hawa COVID-19? Akakata simu.Acha kututisha wewe jamaa, tutamsumbua mpaka abadili laini