Pre GE2025 John Mnyika kapwaya sana Ukatibu Mkuu CHADEMA, nashauri aachie ngazi mara moja kwa heshima, itamsaidia zaidi kisiasa baadae

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ngojeni uchaguzi 2025 mtamuona mjengoni na hapo ndiyo mtashangaa sana.
afadhalli huko anaweza kua kitu lakini sio alipo hivi sasa. ni kiongozi mnyonge asie na uelekeo kabisa πŸ’
 
angalau mapendezo yako yana tija πŸ’
CHADEMa inahitaji katibu mkuu aliyetahiliwa polini na mwenyekiti aliyetahiliwa polini

Hawa hapa

Mwenyekiti LISU
Katibu JOHN heche

Zingatia drSLaa(mbulu huyu hua siamini kama alipitia tohara ya ganzi)

Ccm ili ijitulize inahitaji kutulizwa
 
CHADEMa inahitaji katibu mkuu aliyetahiliwa polini na mwenyekiti aliyetahiliwa polini

Hawa hapa

Mwenyekiti LISU
Katibu JOHN heche

Zingatia drSLaa(mbulu huyu hua siamini kama alipitia tohara ya ganzi)

Ccm ili ijitulize inahitaji kutulizwa
alie tahiliwaβœ–οΈ
alie tahiriwaβœ”οΈ

poliniβœ–οΈ
porini βœ”οΈ

hayo mapendekezo, maoni na mtazamo wako mwingine ni haki na uhuru wako,
muhimu kwangu zaid ni kwa rafiki yangu John J Mnyika kung'atuka kwa heshima chadema πŸ’
 


Mwana CCM yaani vijana hamna kazi masikini kazi ni kama hizi za uchawa! tutafika kweli kwa vijana kurubuniwa na kufanywa machawa hivi
 
Mwana CCM yaani vijana hamna kazi masikini kazi ni kama hizi za uchawa! tutafika kweli kwa vijana kurubuniwa na kufanywa machawa hivi
hizi ndizo miongoni mwa kazi na majukumu mazito na muhimu sana ya kibobevu kwa wanasiasa na wanadiplomasia waandamizi makini kama mimi...

nashauri na kupendekeza mambo ambayo yana mustakabali muhimu sana wa wanasiasa vijana wa Taifa hili muhimu sana la Tanzania πŸ’
 
Hawezi acha ukatibu mkuu wa chama,maana hakuna mchaga mwingine ambaye yupo tayari kuwa Katibu mkuu kwa sasa
 
Yaan mmetuma POLISI wampige kisha mnataka achangamke CCM bwana.
sifahamu na sina hakika na usemacho,
but mapendekezo, ushauri na nasaha zangu kibobevu kisiasa nadhani ni wakati muafaka na muhimu sana kwa kijana kung'atuka ukatibu mkuu na kutafuta changamoto nyingine mpya kisiasa kuliko kung'ang'ana hapo aliko ambako sio vibrant tena, sio energetic tena kama ambavyo yuko kwasabb ya kuwa tied miguu, mikono na mdomo na cartels ndani ya chadema πŸ’
 
We waswma hatuwezi mchagua katibu mkuu kisha tumfunge mikono sijui mdomo na upuuzi unaosema.
 

Yaani ubobezi gani wa kuishia kuwa Chawa. Kama ni mwana dipolasia tungeona hapa unafanya mpango kwa vijana wetu kuweza kupata kazi kwa njia za mitandao kama kule India , kutuletea wawekezaji na wamiliki wakubwa waje kuanzisha data centers hapa nchini watu kama Bill gates, Musk na Larry Ellison wa Oracle. wewe unafikiri uchawa ni kusaidia vijana. Unasaidi vipi vijana zaidi ya kufikiria tumbo lako. Na kama wewe ni mbobezi ndiyo sababu kubwa kwanini sisi ni masikini na nawashauri vijana wasiwaige hawa viongozi wa sasa ambao wanajifikiria wenyewe na matumbo yao tu. Mnataka kura tu za vijana hakuna nia yeyote zaidi ya kujifikiria wenyewe.
 
Hawezi acha ukatibu mkuu wa chama,maana hakuna mchaga mwingine ambaye yupo tayari kuwa Katibu mkuu kwa sasa
I can confirm to you without fear of contradictions kwamba kwa John Myika kua relevant katika political platforms he must resign from the position he hold as it now,

akisubiri kubanduliwa atapoteza credibility kabisa kwenye ulimwengu wa kisiasa πŸ’

John Mrema apewe nafasi hiyo au Kigaila
 
We waswma hatuwezi mchagua katibu mkuu kisha tumfunge mikono sijui mdomo na upuuzi unaosema.
si umeona kamyika kamenywea na kulowana utadhani kanyeshewa mvua, katibu mkuu gani wa chama yuko vile sasa 🀣
 
Wewe kupwaya kwake kunakuhusu nini?
kama mtaalamu mbobevu katika siasa na diplomasia, nina ona mengi nina fanya tafiti nyingi, ninafahamu mambo mengi ya ndani na nje ya vyama vya siasa nchini...

na kwahivyo itakua ni makosa makubwa ya kitaalamu kunyamazia kitu ambacho ni bayana na wazi kama hicho, kwaabab nahusika moja kwa moja kubainisha haya kwenye platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na humu JF,

Kwan kuna ubaya wowote ndrugo nzango πŸ’
 
relax gentleman,

naona una mambo mengi sana moyoni , lakini yana make sense,

but nikutie moyo tu kwamba just relax kua mustahimilivu na mwenye subra ni suala la muda tu natakuja upande huo wa malalamiko na mapendekezo yako but not today ndani ya mjadala huu, na huna sababu ya kuja inbox kwangu for lobbying, just wait ni mpango wa jumla chini ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu makini sana, kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..

hata hivyo,
tazama brains kama za akina John Myika zinavyotumika vibaya na kuteseka kwenye kazi ambazo mwisho wa siku hazina maana yoyote,

utaungana na mimi kwamba mnyika anastahili kufanya kazi ya kuleta mabadiliko kwenye Taasisi ya umma yenye malengo na yenye uelekeo kwa uhuru bila kufungwa mikono wala miguu wala mdomo kama anakofanya kazi sasa...

he is always vibrant, creative energetic katika kazi lakini cartels wamemzonga kijana wa watu hafurukuti left right wala center anaburuzwa tu kama ling'ombe,

no, this is not good,
kama vijanaa Lazima ifikie mahali tuelezane ukweli tu πŸ’
 
Cha kushangaza CCM ndiyo wapangaji wa safu ya uongozi wa juu wa CDM kuelekea uchaguzi Mkuu.

Huhitaki D mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…