CHADEMA
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 490
- 2,471
Jana Agosti 27, 2023 Katibu Mkuu wa Chama Mhe. John Mnyika amekuwa mgeni rasmi katika fainali ya mashindano ya mpira mguu ya Nungwi Super Cup yaliyoandaliwa na Chadema Zanzibar ndani ya jimbo la Nungwi.
Katika mashindano hayo timu 11 zilishindana na baadae timu mbili kuingia fainali, Kiungani na Mjini Kati.
Timu ya Nungwi ikaibuka mshindi wa Nungwi Super Cup 2023.
Katika mashindano hayo timu 11 zilishindana na baadae timu mbili kuingia fainali, Kiungani na Mjini Kati.
Timu ya Nungwi ikaibuka mshindi wa Nungwi Super Cup 2023.