Mungu Ibariki CHADEMAJana Agosti 27, 2023 Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika amekuwa mgeni rasmi katika fainali ya mashindano ya mpira mguu ya Nungwi Super Cup yaliyoandaliwa na Chadema Zanzibar ndani ya jimbo la Nungwi.
Katika mashindano hayo timu 11 zilishindana na baadae timu mbili kuingia fainali, Kiungani na Mjini Kati.
Timu ya Nungwi ikaibuka mshindi wa Nungwi Super Cup 2023.View attachment 2730930View attachment 2730927View attachment 2730931View attachment 2730928View attachment 2730929
Watafika kwa hakikaTuwasubirie wakiingia Zanzibar ,kwenye ±255