John Mnyika ni moja wa Makatibu wakuu bora wa vyama vya siasa Afrika

John Mnyika ni moja wa Makatibu wakuu bora wa vyama vya siasa Afrika

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake.

Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye uchaguzi na jinsi anavyoratibu uchaguzi bila kusahau anavyoweza kujibu hoja zinazoelezwa ofisini kwake, itoshe kusema ni kiongozi mwenye maono na hekima lakini pia anayefahamu umuhimu wa taasisi anayoiongoza.

Wapo makatibu wakuu wa baadhi ya vyama wasingeweza kuvumilia Mwenyekiti wa chama akosolewe adharani.

Wapo makatibu wakuu ambao wapo kwa ajili ya kuongozwa siyo kuongozwa. Taifa linahitaji watu kama Mnyika ambao siyo wanafiki na wanao uvumilivu na utimamu wa nafsi.
 
Heading na ulichoandika ni tofauti, kuwa neutral ndiyo kuwa bora Africa?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake.

Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye uchaguzi na jinsi anavyoratibu uchaguzi bila kusahau anavyoweza kujibu hoja zinazoelezwa ofisini kwake, itoshe kusema ni kiongozi mwenye maono na hekima lakini pia anayefahamu umuhimu wa taasisi anayoiongoza.

Wapo makatibu wakuu wa baadhi ya vyama wasingeweza kuvumilia Mwenyekiti wa chama akosolewe adharani.

Wapo makatibu wakuu ambao wapo kwa ajili ya kuongozwa siyo kuongozwa. Taifa linahitaji watu kama Mnyika ambao siyo wanafiki na wanao uvumilivu na utimamu wa nafsi.

Katibu Mkuu CDM John Mnyika atamkuta wapi Katibu Mkuu wa CCM Balozi Emanuel Nchimbi?
Balozi Nchimbi unamjua kweli? Ukitaka kulinganisha, John Mnyika ni kama 10% tu ya Balozi Nchimbi kwa Ubora.
 
Kwa kweli anastahili pongezi. Yeye na sekretariat nzima. Kuna watu wamejaribu sana kuwaingiza lakini wamesimama kwenye neutrality yao.

Amandla...
Ukweli mtupu! wako watu wetu kabisa hapa jf wakiwemo wagombea na wapambe wao, waliotaka kuleta hiyo sintofahamu, lakini muda umewajibu na limewashuka.
 
Katibu Mkuu CDM John Mnyika atamkuta wapi Katibu Mkuu wa CCM Balozi Emanuel Nchimbi?
Balozi Nchimbi unamjua kweli? Ukitaka kulinganisha, John Mnyika ni kama 10% tu ya Balozi Nchimbi kwa Ubora.
Nchimbi zaidi ya kushiriki mauaji ya Mwangosi na kushiriki kuua mradi wa mabasi ya wanafunzi DSM ana lipi lingine? tupe ushahidi hapa
 
Na sasa hivi yeye ndiye kiongozi mkuu pale CDM, ana mamlaka na kila mmoja anamheshimu.

Katika mahojiano yao wote wagombea wawili wa Uenyekiti wameonesha kuheshimu mamlaka ya Mnyika.
 
Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake.

Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye uchaguzi na jinsi anavyoratibu uchaguzi bila kusahau anavyoweza kujibu hoja zinazoelezwa ofisini kwake, itoshe kusema ni kiongozi mwenye maono na hekima lakini pia anayefahamu umuhimu wa taasisi anayoiongoza.

Wapo makatibu wakuu wa baadhi ya vyama wasingeweza kuvumilia Mwenyekiti wa chama akosolewe adharani.

Wapo makatibu wakuu ambao wapo kwa ajili ya kuongozwa siyo kuongozwa. Taifa linahitaji watu kama Mnyika ambao siyo wanafiki na wanao uvumilivu na utimamu wa nafsi.
Hili kweli Mahera lilimshinda wakati wa uchaguzi
 
Katibu Mkuu CDM John Mnyika atamkuta wapi Katibu Mkuu wa CCM Balozi Emanuel Nchimbi?
Balozi Nchimbi unamjua kweli? Ukitaka kulinganisha, John Mnyika ni kama 10% tu ya Balozi Nchimbi kwa Ubora.
Yeah kwa vile nchimbi ni product ya mahusiano mema ya ki intelejensia kati ya urusi , cuba na special branch.
 
Na sasa hivi yeye ndiye kiongozi mkuu pale CDM, ana mamlaka na kila mmoja anamheshimu.

Katika mahojiano yao wote wagombea wawili wa Uenyekiti wameonesha kuheshimu mamlaka ya Mnyika.
Ameweza ku maintain neutrality kama henry kissinger aliyehudumu kama u.S secretary kwa marais zaidi ya wawili tofauti. Lyndon b johnson, richard nixon na henry ford.
 
Kwa kweli anastahili pongezi. Yeye na sekretariat nzima. Kuna watu wamejaribu sana kuwaingiza lakini wamesimama kwenye neutrality yao.

Amandla...
Off topic…..

I’ve been meaning to ask you this for a while now.

Remember Kuhani? Your JF buddy from way back when.

For some reason, huwa nahisi/ nadhani yule ni Tundu Lissu 😀.

Nadhani alipotea toka 2009 ila akaja na IDs mbadala.

What say you?
 
Off topic…..

I’ve been meaning to ask you this for a while now.

Remember Kuhani? Your JF buddy from way back when.

For some reason, huwa nahisi/ nadhani yule ni Tundu Lissu 😀.

Nadhani alipotea toka 2009 ila akaja na IDs mbadala.

What say you?
Lord have mercy. I do remember him. I also suspect yuko humu kwa ID nyingine. You could be right kuwa yeye ndio Lissu. Wanafanana sana. Lakini those were the days, my old friend.

Amandla...
 
Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake.

Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye uchaguzi na jinsi anavyoratibu uchaguzi bila kusahau anavyoweza kujibu hoja zinazoelezwa ofisini kwake, itoshe kusema ni kiongozi mwenye maono na hekima lakini pia anayefahamu umuhimu wa taasisi anayoiongoza.

Wapo makatibu wakuu wa baadhi ya vyama wasingeweza kuvumilia Mwenyekiti wa chama akosolewe adharani.

Wapo makatibu wakuu ambao wapo kwa ajili ya kuongozwa siyo kuongozwa. Taifa linahitaji watu kama Mnyika ambao siyo wanafiki na wanao uvumilivu na utimamu wa nafsi.
Nimempigia saluti
 
Back
Top Bottom