LGE2024 John Mnyika: Takwimu alizotoa Waziri Mchengerwa kuhusu zoezi la uandikishaji wapiga kura ni za uongo!

LGE2024 John Mnyika: Takwimu alizotoa Waziri Mchengerwa kuhusu zoezi la uandikishaji wapiga kura ni za uongo!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.

Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.

Soma pia: Zoezi la Uandikishaji wa wapiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefikia asilimia 45. Tanga yaongoza!

"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"

Source: Jambo TV

 
Mnyika Aongelee takwimu za Chadema wamejiandikisha wangapi,asilimia ngapi?

Waandishi wa habari achaneni na press conference za kibwege za Chadema

Mnapoteza muda wenu
 
Mnyika Aongelee takwimu za Chadema wamejiandikisha wangapi,asilimia ngapi?

Waandishi wa habari achaneni na press conference za kibwege za Chadema

Mnapoteza muda wenu
Kinachokuliza ni kipi,
 
Kinachokuliza ni kipi,
Chadema wewe ni mmojawapo mpiga filimbi wa Hamelini mnasema Chadema chama kina wanachama milioni 15

Swali waliojiandikisha wangapi kwenye hao wanachama koko wenu hewa milioni 15 mnaojigamba mnao? Hilo ndilo mnyika alitakiwa aongee.Vinginevyo anapotezea muda waandishi wa habari

Wake wa Chadema wamejiandikisha asilimia ngapi kwa asilimia na idadi?
 
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.

Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.

Soma pia: Zoezi la Uandikishaji wa wapiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefikia asilimia 45. Tanga yaongoza!

"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"

Source: Jambo TV

Acha kelele wewe Mnyika
Chadema wamejiandikisha wangapi? Na ni asilimia ngapi ya wanachama wa Chadema? Acha kuchonga mdomo wewe
 
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.

Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.

Soma pia: Zoezi la Uandikishaji wa wapiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefikia asilimia 45. Tanga yaongoza!

"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"

Source: Jambo TV
yaani chadema sasahivi wanachokifanya wala hakieleweki sasa mnyika ana takwimu zipi yeye atuletee za kwake wenzie wako makini na kazi wanayofanya wanazunguuuka kuangalia yeye kakaaa tu kijiweni anasubiri kuja kubisha takwimu za wanaume huyu naye anatakiwa kwenda milembe dishi litakuwa limeyumba yaaani unaita waandishi wanaacha kazi zao kuja kuwwaambia waziri kasema uongo?unachosha waandishi kwa kuja kuwambia umbea ambao hauna hata maana? manaacha kuhamasisha watu wenu wajiandikishe unakuja kusema hakuna watu sasa nyie mtapigiwa kura na nani kama watu wenu hawajiandikishi wahimizeni wajiandikishe siyo siku ya kuhesabu kura mnasema mmeibiwa maana watu wenu watakuwa hawajajiandikisha na hawata piga kura
 
Acha kelele wewe Mnyika
Chadema wamejiandikisha wangapi? Na ni asilimia ngapi ya wanachama wa Chadema? Acha kuchonga mdomo wewe
yaaani chama kimepoteza muelekeo chadema imebaki ya kulalamika tu badala ya kuhimiza watu wao wajiandikishe
 
Kila siku mnahamasisha watu wenu wasijiandikishe na humu mnasema hamjiandikishi kisha anakuja mtu kulalamika kwamba takwimu za uongo, sasa mpumbavu ni nani? Mshashindwa nje ya uwanja bado uwanjani
 
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.

Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.

Soma pia: Zoezi la Uandikishaji wa wapiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefikia asilimia 45. Tanga yaongoza!

"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"

Source: Jambo TV

Mkweli ni Mbowe tu wengine hawa ni upuuzi tu wanauleta ili wasikike
 
Mnyika Aongelee takwimu za Chadema wamejiandikisha wangapi,asilimia ngapi?

Waandishi wa habari achaneni na press conference za kibwege za Chadema

Mnapoteza muda wenu
Kwani ukienda kujiandikisha kuna vituo vya chadema na ccm
 
Mnyika Aongelee takwimu za Chadema wamejiandikisha wangapi,asilimia ngapi?

Waandishi wa habari achaneni na press conference za kibwege za Chadema

Mnapoteza muda wenu
Waandishi wa habari hawawezi kuachana na habari za kweli, labda watishiwe usalama wao. Hakuna mtu anayejitambua ataweza kuendelea kujitokeza kushiriki hizo chaguzi za kishenzi. Ujumbe kuwa wananchi wameichoka ccm iko bayana ubaoni.
 
Kila siku mnahamasisha watu wenu wasijiandikishe na humu mnasema hamjiandikishi kisha anakuja mtu kulalamika kwamba takwimu za uongo, sasa mpumbavu ni nani? Mshashindwa nje ya uwanja bado uwanjani
Ni wapi umeona Mnyika akihamasisha watu wasijiandikishe? Yeye amesema ukweli kuwa idadi inayosemwa na waziri ni ya uongo. Hakuna mtu anayejitambua atajitokeza kushiriki hizi chaguzi zisizoaminika.

Huko tunakoelekea ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili nchi kuanza kupata viongozi kwa njia halali.
 
Kila siku mnahamasisha watu wenu wasijiandikishe na humu mnasema hamjiandikishi kisha anakuja mtu kulalamika kwamba takwimu za uongo, sasa mpumbavu ni nani? Mshashindwa nje ya uwanja bado uwanjani
kwahiyo waliojiandikisha wameshajulikana ni maccm cyo
 
Back
Top Bottom