Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.
Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.
"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"
Chadema wewe ni mmojawapo mpiga filimbi wa Hamelini mnasema Chadema chama kina wanachama milioni 15
Swali waliojiandikisha wangapi kwenye hao wanachama koko wenu hewa milioni 15 mnaojigamba mnao? Hilo ndilo mnyika alitakiwa aongee.Vinginevyo anapotezea muda waandishi wa habari
Wake wa Chadema wamejiandikisha asilimia ngapi kwa asilimia na idadi?
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.
Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.
"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.
Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.
"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"
yaani chadema sasahivi wanachokifanya wala hakieleweki sasa mnyika ana takwimu zipi yeye atuletee za kwake wenzie wako makini na kazi wanayofanya wanazunguuuka kuangalia yeye kakaaa tu kijiweni anasubiri kuja kubisha takwimu za wanaume huyu naye anatakiwa kwenda milembe dishi litakuwa limeyumba yaaani unaita waandishi wanaacha kazi zao kuja kuwwaambia waziri kasema uongo?unachosha waandishi kwa kuja kuwambia umbea ambao hauna hata maana? manaacha kuhamasisha watu wenu wajiandikishe unakuja kusema hakuna watu sasa nyie mtapigiwa kura na nani kama watu wenu hawajiandikishi wahimizeni wajiandikishe siyo siku ya kuhesabu kura mnasema mmeibiwa maana watu wenu watakuwa hawajajiandikisha na hawata piga kura
Kila siku mnahamasisha watu wenu wasijiandikishe na humu mnasema hamjiandikishi kisha anakuja mtu kulalamika kwamba takwimu za uongo, sasa mpumbavu ni nani? Mshashindwa nje ya uwanja bado uwanjani
Katibu wa CHADEMA, John Mnyika leo akiongea na waandishi amemkaanga Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa kwa kusema kuwa takwimu alizozitoa waziri huyo hivi karibuni ni za uongo.
Mnyika amesema kuwa kauli ya Mchengerwa alidanganya aliposema kuwa kuna mwamko mkubwa wa wananchi katika zoezi la andikishaji na kwamba asilimia 45 ya watu walikuwa wameshajiandikisha kwenye daftari.
"Mwamko wa wananchi kwenda kujiandikisha ni mdogo. Hata takwimu alizotoa Waziri kwamba watu wameajiandikisha ni asilimia 45 ya watu waliopaswa kujiandikisha ni takwimu uongo. Waziri ametoa takwimu za uongo. Sasa kwa sababu Waziri ametoa takwimu za uongo kwamba mwamko ni mkubwa sana kiasi kwamba nusu ya wananchi wamejiandikisha wameanza kutoa maelekezo huko chini"
Waandishi wa habari hawawezi kuachana na habari za kweli, labda watishiwe usalama wao. Hakuna mtu anayejitambua ataweza kuendelea kujitokeza kushiriki hizo chaguzi za kishenzi. Ujumbe kuwa wananchi wameichoka ccm iko bayana ubaoni.
Kila siku mnahamasisha watu wenu wasijiandikishe na humu mnasema hamjiandikishi kisha anakuja mtu kulalamika kwamba takwimu za uongo, sasa mpumbavu ni nani? Mshashindwa nje ya uwanja bado uwanjani
Ni wapi umeona Mnyika akihamasisha watu wasijiandikishe? Yeye amesema ukweli kuwa idadi inayosemwa na waziri ni ya uongo. Hakuna mtu anayejitambua atajitokeza kushiriki hizi chaguzi zisizoaminika.
Huko tunakoelekea ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili nchi kuanza kupata viongozi kwa njia halali.
Kila siku mnahamasisha watu wenu wasijiandikishe na humu mnasema hamjiandikishi kisha anakuja mtu kulalamika kwamba takwimu za uongo, sasa mpumbavu ni nani? Mshashindwa nje ya uwanja bado uwanjani