John Mrema kutoka Chuo Kikuu hadi CHADEMA na sasa anatoka chadema kuelekea Mtaani, kuna Wakati maisha Yana Uonezi sana!

John Mrema kutoka Chuo Kikuu hadi CHADEMA na sasa anatoka chadema kuelekea Mtaani, kuna Wakati maisha Yana Uonezi sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
CHADEMA ingeweka utaratibu hawa viongozi wa kuteuliwa wanaolipwa mshahara Uongozi unapobadilika wabakie walau kwa miezi 6 kabla ya kuwaondoa

Fikiria mtu kama Mrema au Kigaila wataishije mtaani bila KAZI kama walivyozoea?

Kiukweli inasikitisha 🐼
 
CHADEMA ingeweka utaratibu hawa viongozi wa kuteuliwa wanaolipwa mshahara Uongozi unapobadilika wabakie walau kwa miezi 6 kabla ya kuwaondoa

Fikiria mtu kama Mrema au Kigaila wataishije mtaani bila KAZI kama walivyozoea?

Kiukweli inasikitisha 🐼
Una mawazo mgando kweli kweli wewe bado unaishi kwenye ulimwengu wa kuajiriwa? Hapo ilokuwa sehemu ya kujisitiri tu kama hawakuwa na mipango mingine shauri yao,after all wamepiga sana ruzuku sasa kama walikuwa wanalewea na kuvulia chupi watajibeba. Na isitoshe hao wake zao ni wabunge wale covid 19 hivi karibuni watapewa kiinua mgongo chao karibia M 400 bado unawaonea huruma.
 
CHADEMA ingeweka utaratibu hawa viongozi wa kuteuliwa wanaolipwa mshahara Uongozi unapobadilika wabakie walau kwa miezi 6 kabla ya kuwaondoa

Fikiria mtu kama Mrema au Kigaila wataishije mtaani bila KAZI kama walivyozoea?

Kiukweli inasikitisha 🐼
Kamdomo ,kamdomo
 
Back
Top Bottom