John Nchimbi: Mbeya bila Shule za Vumbi na Ukosefu wa Madawati katika miaka mitatu ijayo

John Nchimbi: Mbeya bila Shule za Vumbi na Ukosefu wa Madawati katika miaka mitatu ijayo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
John Nchimbi Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mbeya amesema katika jiji hilo, hakuta kuwa na mwanafunzi atakayekaa chini kwa kukosa madawati baada ya miaka mitatu.

"Tunataka Mbeya iwe ya mfano kwenye Miradi ya Elimu, kwa Mapato ya ndani tuliyonayo tunakuhakikishia kuwa hakuna mtoto ambaye atakaa chini ndani ya Halmashauri ya jiji la Mbeya "
 
Mambo hayo yangewezekana kama meya angekuwa mkubwa kuliko mkurugenzi na awe juu ya watumishi wote wa Umma. Meya anaisimamia halimashauri na anatokana na wananchi wa eneo husika. Sasa kesho huyo mkurugenzi akihamishwa hiyo plan inakufa.
 
Hakika mimi naamini vumbi ni lakwetu wana mbeya na wengine hadi tunarudi mavumbini.
 
John Nchimbi Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mbeya amesema katika jiji hilo, hakuta kuwa na mwanafunzi atakayekaa chini kwa kukosa madawati baada ya miaka mitatu.

"Tunataka Mbeya iwe ya mfano kwenye Miradi ya Elimu, kwa Mapato ya ndani tuliyonayo tunakuhakikishia kuwa hakuna mtoto ambaye atakaa chini ndani ya Halmashauri ya jiji la Mbeya "
View attachment 3136344
Tumeshindwa miaka 60 itawezekana miaka mitatu?
 
Back
Top Bottom