Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Nadiriki kuita ni utafiti kwa kuwa majibu yake yanaanza kuonyesha viashiria vya ukweli.
Bwana tendwa alisema mapema kabla ya kambeni kuanza kuwa " Upinzani unatarajia kuzoa viti vya ubunge wa kuchaguliwa zaidi ya 100.Inavyoonyesha bwana Tendwa alilifanyia kazi kabla hajatamka.Japo alipata upinzani toka kwa Makamba wa SISIEMU.
Kwa upande wao CHADEMA wameweka wagombea 187 nchi nzima , tathmini zao za mara kwa mara zinaashiria kupata viti karibu 150.
Nakubaliana kuwa Tendwa alichobashiri (Hypothesis) kinaonyesha ni kweli hasa kutokana na majibu ya CHADEMA kuwa ndani ya ubashiri wa Tendwa(100+).
Nimegundua kumbe tendwa ni makini katika mambo ya msingi lakini anajifanya ni KICHAA WA CCM
Tafakari
Bwana tendwa alisema mapema kabla ya kambeni kuanza kuwa " Upinzani unatarajia kuzoa viti vya ubunge wa kuchaguliwa zaidi ya 100.Inavyoonyesha bwana Tendwa alilifanyia kazi kabla hajatamka.Japo alipata upinzani toka kwa Makamba wa SISIEMU.
Kwa upande wao CHADEMA wameweka wagombea 187 nchi nzima , tathmini zao za mara kwa mara zinaashiria kupata viti karibu 150.
Nakubaliana kuwa Tendwa alichobashiri (Hypothesis) kinaonyesha ni kweli hasa kutokana na majibu ya CHADEMA kuwa ndani ya ubashiri wa Tendwa(100+).
Nimegundua kumbe tendwa ni makini katika mambo ya msingi lakini anajifanya ni KICHAA WA CCM
Tafakari