Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hawa wote walikuwa wana uchezaji wa aina moja, yaani lazima mtu afie uwanjani. Ila mimi namkubali Terry bana yule hata ulikuwa ukitema mate anayakaba.Hawa wote walikuwa ni mabeki wa kati. Pia wote walikuwa ni makepteni katika timu zao.
Wakati John Terry alikipiga Chelsea, Nemanja Vidic alikipiga Man Utd katika EPL.
Kwasasa wote wameshastaafu, ukiwa kama mshabiki wa mpira, ni beki gani kati ya hao wawili ambaye ulimkubali zaidi kwa uchezaji wake akiwa uwanjani.
Karibuni kwa mjadala...
Ha ha haenzi za Terry na Vidic, nilikuwa namkubali Rio Ferdinand, halafu ndio wanafuata hao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haenzi za Terry na Vidic, nilikuwa namkubali Rio Ferdinand, halafu ndio wanafuata hao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu umegonga balimi mbili kwanza nini!? Ha ha ha haTerry ana Vitu vingi kuliko Matic. Terry ni zaid yake
Mkuu mbona kama hatuko pamoja katika hili? Rudia kusoma uzi tena...Terry ana Vitu vingi kuliko Matic. Terry ni zaid yake