Johnny Depp azikataa pesa za fidia alizoshinda kwenye kesi dhidi ya aliyekuwa mkewe, Amber Heard

Johnny Depp azikataa pesa za fidia alizoshinda kwenye kesi dhidi ya aliyekuwa mkewe, Amber Heard

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
7,621
Reaction score
12,505
Baada ya kesi iliovuta hisia za watu wengi kati ya Johnny Depp na ex wake Amber Heard kutolewa hukumu ambayo ilimpa ushindi Johnny, mahakama iliamuru kwamba madai yote ya Depp kuwa mkewe alikuwa anamchafua na kutaka alipwe 10M USD yalikuwa sahihi na kumfanya Deep kuwa mmoja wa wanaume wachache sana USA kushinda kesi za namna hiyo mahakamani.

Hata hivyo Deep amesema kesi hiyo haikuwa kwasababu ya kulipwa hiyo hela bali ilikuwa ni kulinda heshima yake, hivyo hatachukua hata senti moja kutoka kwa ex wake.
 
Msiemjua Captain Jack sparrow
1654142391981.jpg
 
Amber mwenyewe hata pesa ya kumlipa hakuwa nayo, inasemekana hata nyumba aliyokuwa kapanga kipindi cha kesi na gharama za kesi zililipwa na Bima
Alijua atashinda ili apate pesa ndefu kama mke wa Jeff Bezos na bill Gates.
 
Back
Top Bottom