Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Johnson Mshana (28) amehukumiwa miaka 25 kifungo cha nje kwa kujaribu kuvunja gereza la Halden nchini Norway ili aingie ndani.
Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo baada ya kutumikia kifungo cha miaka mitatu kwa kosa la uharibifu wa mali kwa makusudi na pia kabla ya hapo alikwisha kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gereza hilohilo kwa kosa la kumnyanyasa askari polisi wa kike.
Hata hivyo Mshana amesema hajaridhishwa na huku hiyo hivyo amekata rufaa.
Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo baada ya kutumikia kifungo cha miaka mitatu kwa kosa la uharibifu wa mali kwa makusudi na pia kabla ya hapo alikwisha kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gereza hilohilo kwa kosa la kumnyanyasa askari polisi wa kike.
Hata hivyo Mshana amesema hajaridhishwa na huku hiyo hivyo amekata rufaa.