Johnthebaptist umeanza kuwa hovyo, jitafakari upya na maandishi yako!

Johnthebaptist umeanza kuwa hovyo, jitafakari upya na maandishi yako!

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
johnthebaptist Umewatukana chadema mpaka Moderators wakafuta uzi wako. Jitafakati!
Kwa "heshima" yako humu JF, hukupashwa kuandika kitu kama hiki, to quote you!

CHADEMA kwa kupenda 'mapochopocho' unaweza kukuta kikao cha Rais Mwinyi wamejazana Watanganyika badala ya kuwapa fursa Wazanzibari!​

 
Sasa tusi liko wapi hapo?
Hayo ni mwazo yake na yaheshimiwe
 
Saa hizi hawezi kusoma uzi huu.Yupo kilabu cha Mwembechai Kihesa,Iringa anakazia hangover ya msabe aka sabena.
 
johnthebaptist Umewatukana chadema mpaka Moderators wakafuta uzi wako. Jitafakati!
Kwa "heshima" yako humu JF, hukupashwa kuandika kitu kama hiki, to quote you!

CHADEMA kwa kupenda 'mapochopocho' unaweza kukuta kikao cha Rais Mwinyi wamejazana Watanganyika badala ya kuwapa fursa Wazanzibari!​

Amejawa na upuuzi na upumbavu mwingi sana na maranyingi sana mada zake hazizidi mistari mitano
 
Tangu lini alikuwa wa maana huyo?? Nilisha mtupa kwa block list ndo naona hapa habari zake.
 
Mlimpandisha wenywe, mna kazi ya kumshusha wenyewe. Ni kama tu lowasa alivochafuliwa na chadema, akasafishwa na chadema.
 
Back
Top Bottom