kiba haJAWAHI KUJAZA hata show ifanyike ndani
sina chuku na Kiba au binadamu yeyote yule..... but mimi baada ya kuona huu uzi, nikaona ni chuk.. nikafuatilia mitandao ya Kenya... nimekuta mpaka magazeti yameandika hivyo..! Chuki inatoka wapi hapaMbona hii comment ina tone fulani ya chuki binafsi? Kiba alikukosea nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
sina chuku na Kiba au binadamu yeyote yule..... but mimi baada ya kuona huu uzi, nikaona ni chuk.. nikafuatilia mitandao ya Kenya... nimekuta mpaka magazeti yameandika hivyo..! Chuki inatoka wapi hapa
nikifanya ufanano wa show zake nyingi.. huwa hajazi sana kama mshindani wake Mondi..! Huwa napata shida na sisi mashabiki zake, huwa hatumpi sapoti ya kutosha kabisa..!Sawa mkuu,
Ila napata uzito sana kuamini kuwa kiba hajawahi kujaza show yoyote hata ikifanyikia ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo CHUKU ni CHUKI haya andika vizuri toto.sina chuku na Kiba au binadamu yeyote yule..... but mimi baada ya kuona huu uzi, nikaona ni chuk.. nikafuatilia mitandao ya Kenya... nimekuta mpaka magazeti yameandika hivyo..! Chuki inatoka wapi hapa
Unadhani ili yauze yangeandikaje??? Upo dunia gani mzee?mbona povu linakutaoka wewe..! Kuna links kibao zimeandika hiyo habari, mpaka magazeti ya Kenya yameandika..!