Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 527
Naombeni kujuzwa je zimetoka?msaada tafadhari kwa anaejua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naombeni kujuzwa je zimetoka?msaada tafadhari kwa anaejua
Naombeni kujuzwa je zimetoka?msaada tafadhari kwa anaejua
Kuhusu form msijali, na hilo ni suala dogo sana, cha msingi ushajua unaennda kusoma nin, na college gan, na fee structure washatoa, pia na opening date, hakuna tatzo, hyo form hata ikichelewa hlo lisikupe shida, karbu sana udom.
hakuna kitu ambacho hukujui kuhusu chuo mf. tution fee structure, course unayoenda kusoma unaijua, college utakoishi ushajua, tarehe kufungua chuo unaijua, A/C numbers zote za chuo unazijua. hayo yoote yapo kwenye website ya chuo toka mwezi wa 8. joining instruction haina jipya zaid ya haya zaidi ni kwamba ina jina lako.
kama hujui hayo tajwa juu jipange sana ww sio mfuatiliaji mabo na itaku cost
Mmecheke kwenye website ya chuo ALIS (Admission Letters Informartion System)...au mnalalamika tu!?