Join the chain na CHADEMA digital ilikuwa miradi ya Mbowe na Wakenya

Join the chain na CHADEMA digital ilikuwa miradi ya Mbowe na Wakenya

MTANZANIA620

Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
65
Reaction score
81
Aliyekuwa Mwanachama, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge kwa kipindi cha miaka 10 kupitia chama hicho ambaye hivi karibuni alirejea Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mchungaji Peter Msigwa amemshutumu Mwenyekiti wa Chama hicho kwa kuanzisha foundation yake (Mbowe Foundation) ingali akiwa madarakani hali inayoibua mgongano wa kimaslahi kama vile kwa sasa fedha na michango mbalimbali ya chama hicho inapitia kwenye akaunti ya foundation hiyo badala ya akaunti za chama.

Aidha amedai programu za Join the Chain na Chadema Digital zinamilikiwa na kampuni moja ya nchini Kenya ambayo Mwenyekiti Mbowe ni mbia. Kwa maelezo yake michango yote hiyo inaonekana inaishia mfukoni kwa Mbowe.

Shutuma hizi hazihitaji majibu mepesi mepesi.
 
Alikuwa wapi kulisema hilo mapema akiwa huko. Ampeleke TAKUKURU ashughulikiwe na ukweli uwe wazi.
 
Alikuwa wapi kulisema hilo mapema. Ampeleke TAKUKURU.
Kwa hiyo kama mzee mbowe ni jizi aache kusema?Msigwa alikuwa chadema kwa kazi maalumu na ndio hiyo ,mwambieni mzee mbowe ajaribu kujibu ndio mtajua hamjui
 
Mnamuamini huyo tapeli msigwa. CCM chama langu achaneni na hilo tapeli la kupenda vyeo., Linalopoka hayo kusudi mliamini. Hivi you anadhn serikali aijui chochote ye ndo anajua?
 
Back
Top Bottom