Joints kutoa sauti kama kuni kavu inayovunjwa! Karibuni tujadiliane!

Joints kutoa sauti kama kuni kavu inayovunjwa! Karibuni tujadiliane!

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Habari wana jf!

Nina imani kuwa humu kuna madaktari na watu wenye ufahamu kuhusiana na mambo mbalimbali ya kitabibu.

Suala ambalo ningependa tujadiliane hapa ni kuhusiana na hili tatizo la viungo vya mwili hasa magoto kwa mara nyingi kuwa vinapiga kelel kama kuni kavu inayovunjwa pale ambapo mtu anapokuwa anakaa chini ama kukuchuchumaa!
Wadau, tatizo hili kitabibu linasabishwa na nini hasa? Je, matibabu yake hasa yakoje?
Mimi nimeshuhudia kijana mdogo tu wa miaka kama 25 hivi akiwa nalo, yani yeye akikaa ama kuchuchumaa basi magoti hupiga kelele kama kuni iliyonjwa kwa nguvu sana!

Tujadili tafadhalini!
 
Tataizo linatokana na kutokujuhusisha na mazoezi, pia sababu nyingine yawezakuwa ni punyeto
 
utafikiri wanachagua stred za kuchangia! sijui ndo nn? ebu tiririkeni hapa!
 
jaman @DR mo MziziMkavu na wengine tusaidien hata mimi hilo tatzo ninalo
 
Last edited by a moderator:
Tatizo kama unalo umekwenda hospitali kuangaliwa? isijekuwa una upungufu wa Vitamini au madini mwilini. Unafanya mazoezi lakini?


huwa nafanya mazoez mara moja moja!
Lkn nispofanya mda mrefu huwa hata nikikaa miguu huwa inachoka sana inakuwa inataka ujinyooshe kila mara
 
naona utakuwa ume lack Glucosamine Sulfate na Chondroitin Sulfate, hizi ni natural substances zinazo maintain structure and health of cartilages, na kuzifanya ziwe well hydrated. As the body ages production ya hizi substances inapungua na ndio maana watu wengi walioenda age wanasumbuliwa. Tafuta food suppliments inayo contain hizo substances
 
Hali hiyo iliikabili miguu yangu, yaani nilikuwa siwezi kujificha, kwa kuwa nikikaa muda kisha kunyoosha miguu, lazima 'ivunjike', kisha watu kujua nilipo.
Baada ya kuwa nafanya mazoezi, hali hiyo imekwisha. Vidole vya mikono ninatoa sauti kidogo, mara chache.
 
Back
Top Bottom