JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
Nawasalimu Wapendwa,
Naomba niwahusishe tafakari hii,Bwana Joka Jinga ni rafiki yangu na tumekuwa wote na alivyokuwa mdogo aliwahi kujihusisha kimapenz na mtoto wa Bibi yake(Mtoto wa mdogo wake bibi mzaa mama )Je wadau mnaonaje ingawa ulikuwa utoto je undugu hapo mnauonaje upo mbali au karibu.
Mchango wako tafadhali barikiwa
Naomba niwahusishe tafakari hii,Bwana Joka Jinga ni rafiki yangu na tumekuwa wote na alivyokuwa mdogo aliwahi kujihusisha kimapenz na mtoto wa Bibi yake(Mtoto wa mdogo wake bibi mzaa mama )Je wadau mnaonaje ingawa ulikuwa utoto je undugu hapo mnauonaje upo mbali au karibu.
Mchango wako tafadhali barikiwa