Joka la mdimu na hofu ya kupondwa kichwa

Joka la mdimu na hofu ya kupondwa kichwa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Na ripota wetu toka Pwani ya kiwengwa kitongoji cha hasira za mkizi
Mnyambuliko wa habari kuu ni mrejesho wa kutoka huko bush kwa msukuma gangwe

Hasira za mkizi Vs Msukuma gangwe
Mambo ni mengi muda ni mchache..
Kuna adui rafiki
Kuna adui adui
Kuna rafiki adui
Vyote vitatu vinategemea
Nyakati
Mazingira
Maslahi
Historia
Maarejeo
MMalengo
Kwamba kwenye maisha haya kuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu na hakuna adui wa kudumu na hakuna rafiki wa kudumu
Lakini hakuna kinachoumiza kwa marafiki waliokutanishwa na maslahi wakifarakana. Rafiki anapogeuka adui ni mubaya kuliko adui anapogeuka rafiki

Tarehe 20 mwezi wa 2 juma la 5 marafiki waliogeukana wanataka kupondana vichwa na kukatana visigino.. Marafiki katika maslahi binafsi ni marafiki wanafiki.. Kugeukana ni mara moja
Hii ni vita ya panzi shangwe kwa kunguru.. Msukuma gangwe anasema ni kheri jirani mbishi kuliko rafiki wa hasira za mkizi..
Ngoma inogile.. Kule kuchele.. Ni mtifuano wa chini kwa chini wa ndani kwa ndani.. Lakini fukuto likizidi watatoka nje..😂
20240816_114502.jpg
 
Na ripota wetu toka Pwani ya kiwengwa kitongoji cha hasira za mkizi
Mnyambuliko wa habari kuu ni mrejesho wa kutoka huko bush kwa msukuma gangwe

Hasira za mkizi Vs Msukuma gangwe
Mambo ni mengi muda ni mchache..
Kuna adui rafiki
Kuna adui adui
Kuna rafiki adui
Vyote vitatu vinategemea
Nyakati
Mazingira
Maslahi
Historia
Maarejeo
MMalengo
Kwamba kwenye maisha haya kuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu na hakuna adui wa kudumu na hakuna rafiki wa kudumu
Lakini hakuna kinachoumiza kwa marafiki waliokutanishwa na maslahi wakifarakana. Rafiki anapogeuka adui ni mubaya kuliko adui anapogeuka rafiki

Tarehe 20 mwezi wa 2 juma la 5 marafiki waliogeukana wanataka kupondana vichwa na kukatana visigino.. Marafiki katika maslahi binafsi ni marafiki wanafiki.. Kugeukana ni mara moja
Hii ni vita ya panzi shangwe kwa kunguru.. Msukuma gangwe anasema ni kheri jirani mbishi kuliko rafiki wa hasira za mkizi..
Ngoma inogile.. Kule kuchele.. Ni mtifuano wa chini kwa chini wa ndani kwa ndani.. Lakini fukuto likizidi watatoka nje..😂View attachment 3072243
Hii picha, inasema "You You you be careful"
 
Babu : Tanguliza busara na wala si hisia kwenye mambo yanayohitaji uhalisia.Usisahau hilo mjukuu wangu ,tembea nalo maisha yako yote kwani dunia ni uwanja wa fujo na maisha ni ndoto tu...ni ndoto tu....

Mjukuu : Nimekuelewa babu yangu kipenzi ,ahsante sana ubarikiwe mno na nitayashika haya daima dumu.

#Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables

#Nchi Kwanza[emoji7]
#JMT daima dumu[emoji7]
 
Unamaanisha ule mchango wa gari!
Hapana wa fomu ya urais
Babu : Tanguliza busara na wala si hisia kwenye mambo yanayohitaji uhalisia.Usisahau hilo mjukuu wangu ,tembea nalo maisha yako yote kwani dunia ni uwanja wa fujo na maisha ni ndoto tu...ni ndoto tu....

Mjukuu : Nimekuelewa babu yangu kipenzi ,ahsante sana ubarikiwe mno na nitayashika haya daima dumu.

#Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables

#Nchi Kwanza[emoji7]
#JMT daima dumu[emoji7]
Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables🥺🤔🙇🏿‍♂🙏🏿
 
Unamaanisha ule mchango wa gari!
Hapana wa fomu ya urais
Babu : Tanguliza busara na wala si hisia kwenye mambo yanayohitaji uhalisia.Usisahau hilo mjukuu wangu ,tembea nalo maisha yako yote kwani dunia ni uwanja wa fujo na maisha ni ndoto tu...ni ndoto tu....

Mjukuu : Nimekuelewa babu yangu kipenzi ,ahsante sana ubarikiwe mno na nitayashika haya daima dumu.

#Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables

#Nchi Kwanza
emoji7.png

#JMT daima dumu
emoji7.png
Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables🥺🤔🙇🏿‍♂
Hii picha, inasema "You You you be careful"
Hivi kwanini tunatishana kiasi hiki kisa maandiko? Tena maoni?
 
Unamaanisha ule mchango wa gari!
Hapana wa fomu ya urais
Babu : Tanguliza busara na wala si hisia kwenye mambo yanayohitaji uhalisia.Usisahau hilo mjukuu wangu ,tembea nalo maisha yako yote kwani dunia ni uwanja wa fujo na maisha ni ndoto tu...ni ndoto tu....

Mjukuu : Nimekuelewa babu yangu kipenzi ,ahsante sana ubarikiwe mno na nitayashika haya daima dumu.

#Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables

#Nchi Kwanza
emoji7.png

#JMT daima dumu
emoji7.png
Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables🥺🤔🙇🏿‍♂
Hii picha, inasema "You You you be careful"
Hivi kwanini tunatishana kiasi hiki kisa maandiko? Tena maoni?
 
Na ripota wetu toka Pwani ya kiwengwa kitongoji cha hasira za mkizi
Mnyambuliko wa habari kuu ni mrejesho wa kutoka huko bush kwa msukuma gangwe

Hasira za mkizi Vs Msukuma gangwe
Mambo ni mengi muda ni mchache..
Kuna adui rafiki
Kuna adui adui
Kuna rafiki adui
Vyote vitatu vinategemea
Nyakati
Mazingira
Maslahi
Historia
Maarejeo
MMalengo
Kwamba kwenye maisha haya kuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu na hakuna adui wa kudumu na hakuna rafiki wa kudumu
Lakini hakuna kinachoumiza kwa marafiki waliokutanishwa na maslahi wakifarakana. Rafiki anapogeuka adui ni mubaya kuliko adui anapogeuka rafiki

Tarehe 20 mwezi wa 2 juma la 5 marafiki waliogeukana wanataka kupondana vichwa na kukatana visigino.. Marafiki katika maslahi binafsi ni marafiki wanafiki.. Kugeukana ni mara moja
Hii ni vita ya panzi shangwe kwa kunguru.. Msukuma gangwe anasema ni kheri jirani mbishi kuliko rafiki wa hasira za mkizi..
Ngoma inogile.. Kule kuchele.. Ni mtifuano wa chini kwa chini wa ndani kwa ndani.. Lakini fukuto likizidi watatoka nje..😂View attachment 3072243
Aisee hii picha inaogopesha sana ,watu sio wazuri
 
Unamaanisha ule mchango wa gari!
Hapana wa fomu ya urais
Babu : Tanguliza busara na wala si hisia kwenye mambo yanayohitaji uhalisia.Usisahau hilo mjukuu wangu ,tembea nalo maisha yako yote kwani dunia ni uwanja wa fujo na maisha ni ndoto tu...ni ndoto tu....

Mjukuu : Nimekuelewa babu yangu kipenzi ,ahsante sana ubarikiwe mno na nitayashika haya daima dumu.

#Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables

#Nchi Kwanza
emoji7.png

#JMT daima dumu
emoji7.png
Never give wisdom to unworthy as it's unjust to the knowledgeables🥺🤔🙇🏿‍♂
Hii picha, inasema "You You you be careful"
Hivi kwanini tunatishana kiasi hiki kisa maandiko? Tena maoni?
20240818_170537.jpg
 
Back
Top Bottom