Jokate afanya uzinduzi mkubwa wa game lake kwenye Android Playstore (Jokate bottle-spin)

Namheshimu mtu yoyote anayepambana kwa juhudi zake zote ili aweze kufika pale anapotaka awepo....kumbeza na kumdharau ni kuonyesha ulivyopunguani na mwenzio anazidi kukuacha mbali....
 
Kuna watu wanapenda multiple multiple publicity i can say

As human being you cant be successfull kwa kufanya mambo 20 kwa mpigo

Huyu naona hana masterminds wa kumshauri!
 
Kidoti Relax hela haitafutwi hivyo,sticky sehemu moja kwanza upate basement,kila sehemu upo wewe mara nywele,mara wachina na bilioni 8,mara ndala haijakaa sawa upo kwenye game khaaaaaaaa.

Mbona Bakhresa hamumwambii hivyo
 
Namheshimu mtu yoyote anayepambana kwa juhudi zake zote ili aweze kufika pale anapotaka awepo....kumbeza na kumdharau ni kuonyesha ulivyopunguani na mwenzio anazidi kukuacha mbali....

Siyo upunguani tu ni UCHAWI perse
 
Wale wale.....product line ya bakhresa unaifahamu?Hata hvyo bakhresa akuanza na vitu vyote kwa mara moja,fuatilia utajua

Lakn atlist anajaribu vitu ambavyo nyie hamviwaz. Watu walitegemea aanzishe botiki au auze kanga kwa kukopesha au acheze michezo ya kuzungushiana hela ndo mngeelewa. Ametoka out of ur thinking area nampa hongera sana. Kutoka sio lazma kila mtu afuge kuku au awe mkulima bagamoyo
 

Biashara ni idea.....kuna watu hawauzi hata ubuyu lakini wanajua kuplan na kujua opportunities zilizopo ili uwin ufanye nini.

Wanauza mawazo then u put it into practice. So kujaribu bila kuplan na kuangalia fursa ni upotevu Wa rasilimali muda.
 
Ngoja nika download kwanza nijionee huo upuuzi
 
Wale wale.....product line ya bakhresa unaifahamu?Hata hvyo bakhresa akuanza na vitu vyote kwa mara moja,fuatilia utajua

Had saiv she is still looking kwa kitu ambacho kitamtoa ,na kwa vile siyo hizo ndala wala hizo wigs ambazo zimetake off had sasa. yupo right kuendelea kujaribu other ideas.

kujaribu ni kitu kimoja na kufanikiwa ni kitu kingine ila sijui ni kwa nini watu wameichukulia hii negative. mwacheni ajifanyie vitu vyake na ajaribu vingi tu we only live once na huwez jua nini kitamtoa
 
mi ningekua jokate ningeuza elf tatu ndala ili ht mtu mwenye kipato cha chini annue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…