Jokate ajibu mapigo - Nina wangu

Nitasimamia ukweli daima japo najua unauma.

Kama wewe ni mkweli, utuambie role yako katika lile mande ilikuwa nini?

BTW Unasubiriwa kwenye debate ya kiingereza jukwaa la Chit chat.
Mtanange mkali baina yako na Kiranga.

 
Mimi kwa mtazamo wangu nadhani kuna yanayoendelea kati yao ndio maana ikawa JOKATE .....! Asiwe mwingine yoyote..!
 
Mi nakula totoz za ki Dominican nije nihangaike na hao vinuka mkojo? Hell no.
Yaani hivyo vidominishani vyako kuna watu wanaviona VINUKA MKOJO.... Level zetu tu ndo zinatufanya tuamue kumuita nani ni nani....
 
Hawa macelebrity wa bongo wana mtindio wa ubongo au wamelogwa? sasa ndio nini na yeye hiyo ndio?!!! that's is too low for u oops!! for me agrreerrrrrr?
 
Ka Diamond ni too low kwake, je raia wa hivihivi 4th class ka wakina sie tuliokuwa tunamfikiria ndo anatuitaje sasa?!
 
Mwanakwetu hebu tupe dossier zaidi ya huyu Irene Ngowi, mmoja wa mabinti wenye heshima, maana wengine ni makapi matupu.
 
Haka ka Diamond kanaonekana kazi yake ni kuchafua warembo tu. Kamwiki kake kamejaa upele na ukurutu, sura kama Chakubanga lakini kila mrembo aliye top tunaambiwa kamemchezea. Kimapato huyu dogo bado hana senti kwa vile anakaa nyumba ya kupanga Sinza Madukani ambako ni makazi ya middle class.

Nikimlinganisha na wasanii wengine wa bongo lavour na hip hip sioni kama ana mkwanja wa maana. Hata Mr Nice alitengeneza fwedha ndefu kuliko nice lakini hakuweza kushobokewa na mademu wakali kama Diamond. Inawezekana labda Diamond kwa ule muonekano wake wa kimbagala mbagala anatumika tu kuwachafua wengine (ukiacha Wema) au basi ni promo ya video music yake
 

Huyu jamaa wa Jokate ni vipi? Mbona kama namwonaga pale Sinza kijiweni? Mwenye Dossier yake atujuze.
 
Ngoja me niendelee kula watoto wangu wa kiispaniola hapa madrid..hao vinuka mkojo waendelee kuwaumiza vchwa akna diamond.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…