Jokate ajibu mapigo - Nina wangu

acha waendelee kuhangaika hawa wasanii uchwara
 

i think in short Wema ni professional na Jocate ni armature kwa ishu ya kugawa "mpango"
 
" THAT IS TOO LOW FOR ME....." kwa maana nyingine diamond sio type ya jokate..! hahahaha!

what an insult..!
sijutii kuwapiga picha wanaojifanya wanarun town tukiwa katika game ili ikitokea dharau kama hizi niwe natoa ushahidi....
 
Jokate? Mdogo wake constantine magavila mweghelo?
 
hapo siongezi neno maswagga mie
 
Jacate hakuweza jificha kwenye ukuta wa "net ya mbu" siku zote...tusishangae sana wasichana wengi al-maarufu hapa mjini ndivo walivyo...cheap publicity
 
Ka Diamond ni too low kwake, je raia wa hivihivi 4th class ka wakina sie tuliokuwa tunamfikiria ndo anatuitaje sasa?!

dah!umenisikitisha mpwa!kwahiyo anapong'oa diamond wewe huyawezi hayo maji?dah.....tunatofautiana!
 

Current news zake unazijua lakini au unamsifia tu??? Kwa taarifa ndogo tu ni kuwa sasaivi kazaa na mme wa mtu. Do u call that heshima?
 
Yaani hivyo vidominishani vyako kuna watu wanaviona VINUKA MKOJO.... Level zetu tu ndo zinatufanya tuamue kumuita nani ni nani....

Nakuunga mkono mkuu! Ni nakula totoz za kispaniola na nnaziona vinuka mkojo tu!
 
Current news zake unazijua lakini au unamsifia tu??? Kwa taarifa ndogo tu ni kuwa sasaivi kazaa na mme wa mtu. Do u call that heshima?

Ndege wajanja, always wanaishia kwenye tundu bovu.
Ukishangaa ya Jokate, utastaajabu ya Irene Ngowi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…