Jokate asaka mwanaume wa kumuoa

.....kwa hiyo nami mshamba?
CC: snowhite na gfsonwin

kwanza kwani we nesi au ticha? halafu pale nimesema 'kama washambashamba vile'...kwahiyo sio washamba as such...ila ukweli wifey material weng wanamuonekano wa kigirigiri...ila kina kardashian wameshtuka nao siku hizi wanapiga sana vitenge church kwa sana...ila bado yani ukiwaangalia unawajua tu..
 
Last edited by a moderator:
Hii ni dalili ya kuchanganyikiwa.....
 
Ntawachapa nyie hakyanani...

Binamu me nimekuthuthiaaaa, hata ukinichapa siliii....nimekuomba ubuyu wa kaka manager umeminyaaaaa....nimethuthaaa sichedhi na wewe....
 
hehe..am solee kama nimekukwaza...ingawa wapo masela majasiri (wachache sanaa) wanao oa design za kina kim...mara nyingi ni mapedeshjee na wauza unga..

kutuita walimu na manesi washamba....!!!!(hahaaaaaa)
 
hehe..am solee kama nimekukwaza...ingawa wapo masela majasiri (wachache sanaa) wanao oa design za kina kim...mara nyingi ni mapedeshjee na wauza unga..

kutuita walimu na manesi washamba....!!!!(hahaaaaaa)
e
wenye fani tumepanick(just kidding)
 
kutuita walimu na manesi washamba....!!!!(hahaaaaaa)
e
wenye fani tumepanick(just kidding)

Hajui yale mavazi ni sehemu ya ethics za kazi...tungekuwa tunatupia vimini vya kimodel si wanafunzi wangepata division seven kabisa na wagonjwa wangekufa kwa presha za kushukaa......akitaka aelewe atembelee vyuoni kwanza ndo ataona balaa lake....
 
nani anataka
matatizo...mademu tunao oa ni wale wale kama washambashamba hivi mfano
maticha au manesi...hawa kina kim kardashian wanafaa kuwa kama
michepuko..

Tuombe radhi.
 
nani anataka matatizo...mademu tunao oa ni wale wale kama washambashamba hivi mfano maticha au manesi...hawa kina kim kardashian wanafaa kuwa kama michepuko..

Cc: mwalimu #munkari ....njoo uone huku mtu anadhalilisha taaluma
 
Hajui yale mavazi ni sehemu ya ethics za kazi...tungekuwa tunatupia vimini vya kimodel si wanafunzi wangepata division seven kabisa na wagonjwa wangekufa kwa presha za kushukaa......akitaka aelewe atembelee vyuoni kwanza ndo ataona balaa lake....

umeona eeh!
mwambie huyo
tunabadilika kulingana na mazingira
kipindi naanza kazi nlipata shda sana ila asa hv nshazoea
 
nani anataka matatizo...mademu tunao oa ni wale wale kama washambashamba hivi mfano maticha au manesi...hawa kina kim kardashian wanafaa kuwa kama michepuko..

Futa kauli yako mkuu..."ushamba" unaoukusedia wewe ni upi?huyo mshamba ndo anaekufundisha wewe na kukutibu pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…