Jokate atoa ya moyoni

[emoji1] [emoji1] [emoji1] mpatie kijiko na uma ale hiyo jeuri yake mkuu.....
 
Kiba alinikera sana
This girl is very sick and needs help. Binti hana pa kuweka sura yake, hajitambui, hajipangi, amefanya makosa makubwa duniani lakini ni mjinga na hajui kabisa thamani ya mwanamke. Huyu binti yuko kwenye danger zone na tukicheza tutampoteza, iam an expert and i can see dalili mbaya sana. Jokate, we once met when you were very young, i think year 1 and the campus, mimi nikiwa mtu mzima kwenye postgraduate degree, uliwahi kunifuata ukataka nisikilize ndoto yako, i did, na nikakutia moyo na kukupa tips za maangalizo kwa sababu tayari nilishakuona ndani, ulikua na kitu hatari (ulikua at that age umeshajihesabia u super star na nilishakuona you could do anything to try and get there) sasa you made a big mistake already which is to let yourself be a tool for men. Please, I want to hold your hand and try to lift you up, you can start again you can do it. Please call this number 0714 747002, its not my number but this contact can lead you to me, just introduce yourself and ask for mama. good luck!
 
muacheni ale ujana ndo kwanza ana 24yrs mbichiii
 
Partners anao chaguaga huyu binti wanakuwa bado hawaja maliza foolishness, next time adate mizee tu.
 
Hivi huyo jokate si aje hata kwangu nimuoe mke wapili kuliko kusumbuliwa na hivi vitoto?
 
me nilikuwa shabiki sana wa ali kiba ila toka siku ile nilimuona mjinga tu ata km haumutaki mtu au mmeachana kuna lugha nzuri ya kuongea kwenye media,akumbuke na mwenzie ana moyo na aibu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…