Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
DC wa Kisarawe na mlimbwende Jokate Mwengelo umeuarifu Umma kupitia account zake za mitandaoni ya kwamba "sasa wakati wa Mungu umefika...."
Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate
Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate