Before ulikuwa wakati wa ibilisi, binadamu tunajua kukufuru!!!!"sasa wakati wa Mungu umefika....
Haya huyo hapo sabayaUongo mbaya Jokate amethibitisha kuwa hizi nafasi za Udc na Urc hata Wasichana wanaziweza amepiga kazi kuliko mijibaba yenye sharubu kubwa.
Duuu. Kwanini asiwepo na amefanya KAZI vizuri na zinaonekana??Anajua uteuzi wa maDC ndio unaofuatia na yeye hatakuwepo
Hii ni defensive mechanism and her own cry-me-a-river moment
I dont know her on the personal level ila truth be told,I just hate her, her vibe is deadly off!
Ila mimi nakupongeza jinsi ulivyo wa manage hao wazaramo,at least kuna kitu utakiacha hapo cha kumbu kumbu has issues za Elimu.Chukua pongezi zangu. Ijapo wengi walishangaa kwamba mrembo amaweza kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilayaDC wa Kisarawe na mlimbwende Jokate Mwengelo umeuarifu Umma kupitia account zake za mitandaoni ya kwamba "sasa wakati wa Mungu umefika...."
Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate
View attachment 1787560
DC wa Kisarawe na mlimbwende Jokate Mwengelo umeuarifu Umma kupitia account zake za mitandaoni ya kwamba "sasa wakati wa Mungu umefika...."
Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate
View attachment 1787560
What is there not to love about her?I love this girl
She is so hot 🔥🔥🔥So Sexy! I LOVE HER! 😍Mambo yalianzia huku, nadhan siku hii huenda ilikuwa ya kupokea posa.View attachment 1787711
Anapiga sana kazi lakini huyo dada mkuuAnajua uteuzi wa maDC ndio unaofuatia na yeye hatakuwepo
Hii ni defensive mechanism and her own cry-me-a-river moment
I dont know her on the personal level ila truth be told,I just hate her, her vibe is deadly off!