Jokate: Kuachana na Hasheem Thabeet kilikuwa ni kitu kibaya zaidi kutokea kwangu

Kujutia kuvunjika kwa mahusiano yako yaliyopita wakati upo na mwingine kwa sasa, ni kosa ktk kanuni ya mapenzi,tena mbaya zaidi analiongelea hilo hadharani.
Yah dat true tena ni ufinyu wa fikra na kwa maana nyingine ni kwamba she still love him so uyo aliye naye kwa sasa ni imetokea tu coz hana option nyingne..
 
Kwahiyo haraka haraka, kadate diamond, alikiba na hasheem!
 
Na ninaona pia kwamba hata aliyenaye kwa sasa ni kama hayuko naye.Ameshindwa tu kusema kuwa Ali siko naye kwa sasa.Anasubiria aopoe kitu kingine ndio amwage hadharani kuwa ameshamtema.
Nimeng'amua vitu viwili tu hapo kutoka kwa Jokate:-
1.KuDate na Diamond ilikuwa ni Ujinga.
2.Uhusiano wake Na KIBAKULI si Bora kama Wa EX-NBA.
ti
 
Huyu mwanamke sio sexy
 
Hakuna kitu kinacho muumizaga mwanamke pale anapoachwa na good fucker alafu akawa na mtu ambaye hamfanyi kuliko wa kwanza
Ukweli mtupu.. yaani hata akiwa anacare kiaje, ukufikika ule muda lazima ukumbuke good f.c.k
 
daahh huyu dada alivumilia ile kipande ya jamaa.daahh me hata bure akunipa staki
Hahaaa. Hujawajua utamu wao wewe. Mara ya kwanza, ukitoka huko shurti unashushia na panadol. Ukiwazoea, nyingine zote shombo
 
Haya maneno mwenza wake aliyekuwa nae hv sasa, huko alipo sijui anajisikiaje
Ukiona mpenz uliyenae anamsifia X, anza na wewe kukusanya vilago vyako ili angalau baada ya muda nawe uanze kusimuliwa
 
Elewa maana ya first Love Mkuu! Tatizo wabongo mmeshazoea kudanganywa na mnapenda kuchanganya maana ya Love na kuvumbua migodi ya chumvi chumvi
 
Kujutia kuvunjika kwa mahusiano yako yaliyopita wakati upo na mwingine kwa sasa, ni kosa ktk kanuni ya mapenzi,tena mbaya zaidi analiongelea hilo hadharani.
ukweli unauma mkuu yeye kasema ndo love wake wa kwanza sasa unataka nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…