Jokate kuijengea uwanja wa michezo shule ya sekondari Majani ya Chai

Jokate kuijengea uwanja wa michezo shule ya sekondari Majani ya Chai

vampire_hunter007

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
1,034
Reaction score
2,624
Jokate ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo, alisema kuwa serikali peke yake haitaweza kutatua changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu na nyinginezo na hivyo inahitaji msaada kutoka kwa sekta binafasi na wadau.

“Nashukuru kwa kunichagua kuwa mgeni rasmi katika mahafali haya, hii imenipa faraja kubwa sana, nimesikia changamoto mbalimbali, kwa kuanzia nitaanza kujenga uwanja wa michezo na matundu ya vyoo,” alisema Jokate.

1477045455617.jpg


Alisema kuwa ameamua kuonyesha mfano kupitia ‘Kidoti Brand’ kuchangia maendeleo ya michezo nchini hasa kwa katika shule ambazo ni kiini cha maendeleo ya sekta hiyo hapa nchini. Mbali ya michezo, pia Kidoti Brand inajihusisha zaidi na maendeleo ya elimu hapa nchini.

Chanzo: Michuzi Blog

Is this preparation for 2020 or its just out of a good heart...Watever it is, Big up JoJo....Fanya yako

1477045426843.jpg
 
Kumbe kidoti ni mweupe sana usoni kuliko miguu
 
Aseee namtamang huyu mtt kinyama cjui ntumie njia gani kumpata na mm cna fedha
 
Nashangaa sana hizi shule badala ya kualika watu wa maana wanaalika huyo, sasa hapo watoto wetu wanajifunza nini?jokate ndiyo awe role model wao?
 
Jamani lakini msisahau kuwa "Baniani mbaya kiatu chake dawa"
 
Back
Top Bottom