Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Baada ya Msafara wa mapokezi hayo; Ndugu Jokate alipata wasaa wa kuendesha kikao cha ndani kilichowakutanisha Viongozi wa CCM na Jumuiya zake wa Ngazi ya Mkoa na Wilaya pamoja na kupokea taarifa ya kazi.