Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi inatoa taswira gani kwa unaowaongoza?

Mtu mwenyewe cha pombe upo Bar umelewa unaona nyota tu, mambo ya maadili ya taifa kama katika uongozi utayaelewa vipi.
Yani mnaojikutaga walokole huwa mnaroho mbaya sana.. mkuu mtoto ni baraka na kingine jifunze kuheshimu maisha binafsi ya mtu mwingine

Tukisema tuanze kukaguana watoto wa nnje ya ndoa unaweza kuta hata wewe ni wa nnje ya ndoa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Live your life.. kunastress nyingine ni za kujitafutia man
 
Nakushauri upendekeze suala la uzinzi,ulevi n.k visiwekwe kwenye ethics na conduct za mtumishi wa umma,hasa mwandamizi.Tuokotage tu watu na kuwapa vyeo,mambo mengine ya ni yao privately,au unaonaje hiyo?
 
Bwana Amigoh, ni nini maana ya walokole'?
 
Mjue Binti yupo anakata miaka kuelekea 40 yrs na dalili za kuolewa hazioni ,,,,Sasa huenda kajaribu Mbegu kibao hazioti at last kakuta seedco genuine gusa inase.Tumuache na tumuombee uzazi salama maana changamoto za uzazi siku hizi ni nyingi na complicated sana
 
kuna wakati sisi binadamu tunajikuta miungu watu hivi niulize vile umeona kibanzi kwenye jicho la mwingine vipi hiyo boriti iliyo kwenye jicho lako please itoe kwanza kabla hujaona kosa la mwingine ni vema ukaona kosa lako ni vile sisi hatukujui wewe ndio maana lakini yawezekana una magumu zaidi ya hayo unayoyaona kwa DC suala la ndoa ni la mtu na mtu wake wewe unaamini ndoa ni lazima uone wakiifuga embu watanzania tufanye yatupasayo bhana daaaah
 

anawafundisha kwamba"wapate UDC kwanza ndipo washike mimba bila ndoa"si kinyume chake.
 
Akili za watanzania wenzetu ndio zimeishia hapa.
 
Je kama alifunga ndoa ya Siri ya Kwa mkuu wa wilaya?
Au pengine amepandikiza kama wafangavyo mastaa wengine?
 

Hapa kuna wivu
 
Mi nawaza tu Mwenyeketi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama aliachaje lindo wazi likaliwa na muhuni mmoja?🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…