johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu wa UVCCM ndugu Jokate amewataka Vijana wa UVCCM kuachana na Uchawa wa kubeba mikoba ya Wagombea nyakati hizi za uchaguzi na badala yake wachukue Fomu na kugombea wao wenyewe
Jokate amewataka Vijana waanze kuchukua Fomu uchaguzi wa serikali za Mitaa mwaka huu na kwenye uchaguzi Mkuu mwakani
Jokate ameongea hayo mjini Iringa pale alipotwangwa Mjerumani
Source: Mwananchi
My take; Yawezekana Jokate anamjua Lucas 😂
Jokate amewataka Vijana waanze kuchukua Fomu uchaguzi wa serikali za Mitaa mwaka huu na kwenye uchaguzi Mkuu mwakani
Jokate ameongea hayo mjini Iringa pale alipotwangwa Mjerumani
Source: Mwananchi
My take; Yawezekana Jokate anamjua Lucas 😂