I wish that could be true!RA anatikisa nchi, kamata habari, CCM,anaogopwa, who is RA jamani?
Naipenda staili yako ya kuchangia siku hizi. Ni hahahaha, hehehehe, bwahahaha, kwikwikwi! Una raha weweee! Hongera sana.bwa hahahahahaha
mwayegoNaipenda staili yako ya kuchangia siku hizi. Ni hahahaha, hehehehe, bwahahaha, kwikwikwi! Una raha weweee! Hongera sana.
Mwanahalisi,
Utani mwingine sio mzuri!